Afya

Kyerwa yakamilisha jengo la mama na mtoto Rukuraijo

KYERWA: Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera imekamilisha ujenzi wa jengo la Mama na Mtoto katika Zahanati ya Rukuraijo…

Soma Zaidi »

Watu 2,750 wapatiwa matibabu ya macho Z’bar

ZAIDI ya watu 2,700 wamepatiwa matibabu ya macho katika Kambi Maalum ya Matibabu ya Macho inayoendeshwa Zanzibar na madaktari bingwa…

Soma Zaidi »

Akili unde kupima saratani ya matiti

TEKNOLOJIA ya akili bandia (AI) imeanza kutumika katika uchunguzi wa saratani ya matiti nchini, baada ya Taasisi ya Saratani ya…

Soma Zaidi »

Mtaalamu: Elimu zaidi inahitajika uelewa tiba asili

MBEYA; Kaimu Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Tiba Asili na Tiba Mbadala ya Wizara ya Afya, DK Winfrida Kidima,amesema jamii…

Soma Zaidi »

Bosi NIMR asifu umuhimu wa tiba asili mfumo huduma za afya

MBEYA; MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Prof Said Aboud, amesema asilimia 60…

Soma Zaidi »

Wanne wapandikizwa figo Mloganzila

DAR ES SALAAM; Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)-Mloganzila imepandikiza figo wagonjwa wanne katika kambi maalumu iliyofanyika Agosti 16 hadi 19,…

Soma Zaidi »

Luizer awasihi wanawake kutunza ngozi

MSANII wa muziki wa dansi, Luizer Nyoni Mbutu, amewashauri mabinti na wanawake kuthamini na kutunza ngozi zao kwa kuepuka matumizi…

Soma Zaidi »

Bunifu MUHAS suluhisho za changamoto za afya

TANGA: Ubunifu wa wanafunzi na wataalamu kutoka Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) umeendelea kuibua matumaini kwa…

Soma Zaidi »

JWTZ, majeshi EAC kutoa matibabu ya kibingwa bure

DODOMA: JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), kwa kushirikiana na majeshi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika…

Soma Zaidi »

Tanzania, Uturuki zaimarisha ushirikiano sekta ya afya

DAR ES SALAAM: BALOZI wa Uturuki nchini Tanzania, Bekir Gezer, amesema uhusiano kati ya Tanzania na Uturuki unaendelea kukua na…

Soma Zaidi »
Back to top button