Afya

TBS yateketeza tani 39 bidhaa zisizokidhi viwango

DAR ES SALAAM; Shirika la Viwango Tanzania (TBS) Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeteketeza tani 39 za bidhaa za…

Soma Zaidi »

NECTA yajipanga matumizi teknolojia Akili Mnemba

ARUSHA; BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) limesema limejipanga kutumia teknolojia ya Akili Mnemba (AI) kuboresha mifumo ya utahini na…

Soma Zaidi »

Sh Bil 11 kukamilisha ujenzi kituo cha saratani Mbeya

MBEYA; Serikali imewekeza takribani Sh bilioni 11 katika ujenzi wa Kituo cha Saratani cha Ocean Road (ORCI) Mbeya, kinacholenga kusogeza…

Soma Zaidi »

Wananchi Msangamkuu wasogezewa huduma za afya

WANANCHI wa Kata ya Msangamkuu, Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara, wameishukuru Serikali kwa kuwajengea Kituo cha Afya cha…

Soma Zaidi »

Sh bilioni 1.2 kusaidia watoto wenye magongwa ya moyo

GEITA: KIASI cha Sh bilioni 1.2 kimetengwa kwa kipindi cha miaka mitatu kusaidia matibabu ya watoto 300 wenye magonjwa ya…

Soma Zaidi »

KCMC waja na mpango kukakabili magonjwa ya kuambukiza

KILIMANJARO; Katika juhudi za kuimarisha uwezo wa Tanzania kwenye utafiti wa afya na mapambano dhidi ya magonjwa ya kuambukiza, Chuo…

Soma Zaidi »

Tanzania kupanua huduma za moyo Comoro

DAR ES SALAAM: UHITAJI mkubwa wa huduma za uchunguzi na matibabu ya magonjwa ya moyo nchini Comoro umeibua fursa kwa…

Soma Zaidi »

IAEA, TAEC kusafirisha mabaki vyanzo vya mionzi

DAR ES SALAAM; SHIRIKA la Kimataifa la Nishati ya Atomiki (IAEA), kwa kushirikiana na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania…

Soma Zaidi »

Wafungwa Ukonga kupimwa magonjwa yasiyoambukiza

DAR ES SALAAM; WAFUNGWA 600 wa Gereza la Ukonga, Dar es Salaam, wanatarajiwa kupatiwa huduma za uchunguzi wa magonjwa yasiyoambukiza,…

Soma Zaidi »

Madaktari wazawa watenganisha mapacha

MADAKTARI bingwa wazawa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) wamefanikiwa kufanya upasuaji wa kutenganisha mapacha walioungana aina ya parasitic conjoined…

Soma Zaidi »
Back to top button