Afya

Malima aonya matumizi yasiyo sahihi vyandarua

MOROGORO: MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima amewaonya wananchi wa mkoa huo wanaotumia vyandarua kwa malengo tofauti zikiwemo kufugia…

Soma Zaidi »

Bil 2.6/- kukamilisha kituo cha afya Makere

KIGOMA: KIASI cha fedha Sh bilioni 2.6 kitatumika kutekeleza mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya Makere katika kijiji cha…

Soma Zaidi »

Mtoto ajinyonga kisa kukanywa na wazazi

POLISI mkoani Morogoro wanachunguza kifo cha Rajabu Ally Mohammed (12), mtoto wa nyumbani na mkazi wa Ijava, Kata ya Italagwe,…

Soma Zaidi »

JKCI yazindua kampeni magonjwa yasiyoambukiza

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imeanzisha kampeni maalumu ya “Jua Namba Zako” katika kliniki ya…

Soma Zaidi »

Watoto milioni moja kupatiwa chanjo ya polio Geita

JUMLA ya watoto 1,114,918 wenye umri chini ya miaka 10 wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya matone ya polio mkoani Geita kupitia…

Soma Zaidi »

Mtaalamu: Msongo wa mawazo huathiri zaidi wanawake

Dar es Salaam : MTAALAMU wa Saikolojia, Sophia Sanga amesema tafiti zinaonesha kwamba msongo wa mawazo  huathiri wanawake karibu mara…

Soma Zaidi »

‘Samia Legal Aid’ yaleta matumaini kwa wananchi

DODOMA: PROGRAMU ya huduma ya msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imeendelea kurejesha matumaini kwa wananchi baada ya kusaidia…

Soma Zaidi »

Bajeti barabara MUHAS kutua bungeni, kamati yatoa maagizo

DAR ES SALAAM: KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Elimu, Utamaduni na Michezo imeahidi kuwasilisha bungeni suala la ujenzi wa…

Soma Zaidi »

Watoto kupewa chanjo ya polio Shinyanga

SHINYANGA: WATOTO wenye umri wa kuanzia miaka 0 hadi 10 mkoani Shinyanga wanatarajiwa kupatiwa chanjo ya Polio ili kuwazuia kupata…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa Sh bil 4 ujenzi wa wodi binafsi Muhimbili

DAR ES SALAAM: SERIKALI imetoa kiasi cha Sh bilioni 4 kuendeleza ujenzi wa jengo la gharofa nne la wodi ya…

Soma Zaidi »
Back to top button