Afya

Marufuku hospitali za serikali kuelekeza ununuzi dawa mitaani

WAZIRI Mkuu Dk. Mwigulu Nchemba ameonya vituo vya afya na hospitali za serikali kuacha tabia ya kuwaelekeza wananchi kununua dawa…

Soma Zaidi »

Kamati ya Bunge yapongeza huduma za mama na mtoto

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI imetoa maelekezo kwa hospitali zote nchini kufuata miongozo ya…

Soma Zaidi »

Ushirikiano wahitajika chakula shuleni

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Wanu Hafidhi Ameir ametoa wito kwa wadau wa elimu, wazazi na jamii kwa…

Soma Zaidi »

‘Kuna ongezeko kubwa wagonjwa wa figo nchini’

DAR ES SALAAM : Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH)  imeadhimisha siku ya Figo Duniani inayofanyika Alhamisi ya pili ya…

Soma Zaidi »

‘Serikali imeanza ujenzi wodi mpya 35 za watoto’

DAR ES SALAAM; NAIBU Waziri wa Afya,Dk Florence Simizi, amesema serikali imeanza hatua ya utekelezaji wa ujenzi wodi mpya 35…

Soma Zaidi »

Tanzania yapongezwa kukabili magonjwa mlipuko

KAGERA: Ubalozi wa Uingereza nchini umeipongeza Serikali ya Tanzania kwa mikakati na jitihada za kukabiliana na magonjwa ya mlipuko hasa…

Soma Zaidi »

Wataalamu wajadili vifo wajawazito, watoto

KIGOMA: WATAALAMU wa afya ya uzazi wamekutana mkoani Kigoma kufanya tathmini kufuatia changamoto mbalimbali zinazochangia kuendelea kwa vifo vya wajawazito…

Soma Zaidi »

Sh mil 250 kujenga zahanati Mwamapalala

SIMIYU: SERIKALI imetoa fedha kiasi cha Sh milioni 250 kwa ajili ya ujenzi wa Zahanati ya Mwamapalala iliyopo katika Kata…

Soma Zaidi »

Wanawake wahimizwa kupima afya mapema

KATIKA kuelekea maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Machi 8, wanawake wametakiwa kujitokeza kwa wingi kupima afya zao mapema, hususan…

Soma Zaidi »

Serikali yaitaka MUHAS kujizatiti tafiti magonjwa adimu

DAR ES SALAAM: Serikali imewataka wataalamu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kujizatiti kusoma na kufanya…

Soma Zaidi »
Back to top button