Afya

Mradi maalumu kukabili udumavu wazinduliwa mikoa mitatu

GEITA: SERIKALI imezindua Mradi wa Kuimarisha Huduma za Lishe katika mikoa ya Geita, Iringa na Tabora ili kusaidia kupunguza changamoto…

Soma Zaidi »

Ripoti: Uandishi wa habari za Afya Afrika unakabiliwa vikwazo

DAR ES SALAAM: RIPOTI ya Mitindo ya Vyombo vya Habari vya Afya Afrika ya 2026 iliyotolewa jijini Nairobi na taasisi…

Soma Zaidi »

Dk. Mwigulu akagua jengo la mama na mtoto Haydom

WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba, leo Machi 2, 2026, amekagua Jengo la Mama na Mtoto katika Hospitali ya Kilutheri ya…

Soma Zaidi »

Vifo vya wagonjwa kifafa vyapungua

KATIKA wiki ya Kampeni ya Kifafa iliyofanyika Februari 5 hadi 9 mwaka huu, Chama cha Wataalamu wa Kifafa Tanzania (TEA)…

Soma Zaidi »

Tanzania yazidi kujiimarisha uzazi salama

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali ipo tayari kuwezesha utekelezaji wa mpango wa kujenga wodi 27 za kulea watoto njiti…

Soma Zaidi »

Timu ya Alicia Keys, DMF watua Amana

DAR ES SALAAM: Timu ya wawakilishi kutoka Taasisi ya Keep A Child Alive, ya msanii Alicia Keys, imewasili Tanzania ikiwa…

Soma Zaidi »

Dk Janabi azindua jengo watoto njiti Kwimba

MWANZA: Jengo la kisasa lenye viwango vya kimataifa kwa ajili ya kuhudumia watoto njiti limezinduliwa katika Hospitali ya Wilaya ya…

Soma Zaidi »

Bunifu MUHAS zaleta matokeo chanya sokoni

DAR ES SALAAM: Tanzania inaendelea kupiga hatua katika kujenga uchumi unaotegemea maarifa na ubunifu, kupitia sera na mikakati mbalimbali, huku…

Soma Zaidi »

Wapatiwa mafunzo kuhudumia watoto njiti

MWANZA: Wahudumu wa afya wanaotarajiwa kutoa huduma katika jengo jipya la watoto njiti lililopo Hospitali ya Wilaya ya Kwimba wamepatiwa…

Soma Zaidi »

Wasifu uwepo wa jengo la watoto njiti Kwimba

MWANZA; Wanawake wawili wa wilayani Kwimba, mkoani Mwanza wamezungumzia changamoto walizopitia wakati wa kujifungua, wakilazimika kusafiri umbali mrefu kwa pikipiki…

Soma Zaidi »
Back to top button