Afya

Abuni mashine kuokoa watoto njiti

ARUSHA: Mbunifu Mosety Baita kutoka jijini Arusha amebuni mashine maalumu ya kisasa inayolenga kuokoa maisha ya watoto wanaozaliwa kabla ya…

Soma Zaidi »

“Tafiti za NIMR ziwe suluhisho changamoto za afya”

ARUSHA: Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa ameiagiza Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa (NIMR) kuendelea kuzalisha tafiti na ubunifu…

Soma Zaidi »

Rais wa MAT ataka mazingira ya uwekezaji yaboreshwe

DAR ES SALAAM: Rais wa Chama cha Madaktari Tanzania (MAT), Dk. Mugisha Nkoronko, ametoa wito kwa Serikali kuendelea kuboresha mazingira…

Soma Zaidi »

Kafulila azungumzia mkatati wa rufaa matibabu ya nje

DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP-Centre), David Kafulila,…

Soma Zaidi »

Kihongosi ahamasisha wananchi kujiunga mifumo ya bima

ARUSHA: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa, Kenani Kihongosi amewahimiza wananchi kujiunga na mifumo…

Soma Zaidi »

Londo: TBS ni nguzo kuu kulinda afya ya mlaji

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,  Dennis Londo, amelitaja Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuwa ni nguzo…

Soma Zaidi »

Wagonjwa 1000+ kutoka nje watibiwa hospitali ya Kaloleni

ARUSHA: HOSPITALI ya Karoleni jijini Arusha imeendelea kuonyesha mafanikio makubwa katika sekta ya afya na kuibuka kuwa miongoni mwa vituo…

Soma Zaidi »

Usugu wa vimelea wapungua, vifo vyashuka

DAR ES SALAAM: Matumizi ya dawa za antibiotiki kiholela yamepungua kwa 80%, hivyo kupelekea pia kupunguza vifo kwa 14% vitokanavyo…

Soma Zaidi »

Bil 3/- zahitajika kusaidia watoto wenye ulemavu

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya CCBRT imezindua rasmi kampeni ya kitaifa ya uchangishaji fedha yenye lengo la kukusanya Sh bilioni…

Soma Zaidi »

Wananchi 16,000+ kunufaika na zahanati Mirerani

MANYARA: ZAIDI ya wananchi 16,000 wakiwemo wachimbaji wa madini na wadau mbalimbali wa shughuli za kiuchumi wanatarajiwa kunufaika na Zahanati…

Soma Zaidi »
Back to top button