Afya

Tanzania, India zasaini makubaliano kuendeleza tiba asili

INDIA; Serikali ya Tanzania na India zimesaini Hati ya Makubaliano kuhusu ushirikiano kwenye Sekta ya Afya katika kuendeleza tiba asilia…

Soma Zaidi »

Presha ya macho inavyowatesa watu wasiooona

TRAKOMA ni ugonjwa wa macho unaoweza kuzuilika na kutibika, na ukiachwa bila matibabu husababisha upofu wa kudumu. Kwa mujibu wa…

Soma Zaidi »

Umuhimu wa kumkagua mtoto wa kiume mara kwa mara

KWA mujibu wa wataalamu wa sayansi, mtoto wa kiume anapoanza kuumbwa, korodani zake huwa tumboni na huanza safari ya kushuka…

Soma Zaidi »

Ushirikiano unahitajika kuokoa maisha ya watoto njiti

MTOTO njiti ni mtoto anayezaliwa kabla ya muda wa kawaida wa mjamzito kujifungua wa wiki 37 za ujauzito. Inakadiriwa watoto…

Soma Zaidi »

Rita yaagizwa vyeti vya kuzaliwa saa 48

WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk Juma Homera amezindua mpango wa Wakala ya Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) wa utoaji…

Soma Zaidi »

Watoto 250 wakimbia ukeketaji

ZAIDI ya watoto 250 wanadaiwa kukimbia ukeketaji kila mwaka katika koo mbili kati ya 13 za Kikurya Wilaya za Serengeti,…

Soma Zaidi »

Benjamini Mkapa yajivunia mambo 15 kuanzishwa kwake

DODOMA: MKURUGENZI Mtendaji wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH), Profesa Abel Makubi ameeleza mafanikio makubwa 15 ya taasisi hiyo katika…

Soma Zaidi »

Wadau kuungana kukomesha udhalilishaji Zanzibar

TAASISI zinazotetea haki za wanawake, vijana, watu wenye ulemavu na watoto Zanzibar zinatarajiwa kuungana kesho Jumamosi, Desemba 6, 2025, kuadhimisha…

Soma Zaidi »

Miundombinu mipya kuongeza masomo ya afya MUHAS

DAR ES SALAAM: CHUO KIKUU cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (MUHAS) kimesema kinatarajia kuongeza upanuzi wa uwezo wa udahili…

Soma Zaidi »

Matumizi ya dawa za kienyeji yaongeza wagonjwa wa figo

KILA mwaka inapofika Novemba 15, 2025 Tanzania hufanya maadhimisho ya wiki ya magonjwa yasiyoambukizwa, magonjwa ambayo kwa sasa yanatajwa kuwa…

Soma Zaidi »
Back to top button