Afya

Hospitali Geita yaweka nguvu matibabu ya macho

GEITA; HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Geita imeanzisha karakana ya macho ili kukabiliana na mahitaji ya huduma za macho…

Soma Zaidi »

Serikali yaita mapendekezo kupunguza gharama za matibabu

SERIKALI imeagizwa iwasilishwe mapendekezo kuhusu namna ya kupunguza gharama za matibabu kwa wananchi.

Soma Zaidi »

Wachimbaji Mirerani wapata zahanati

ARUSHA: ZAHANATI yenye gharama ya zaidi ya Sh milioni 180 inajengwa ndani ya ukuta wa migodi ya madini ya Tanzanite…

Soma Zaidi »

Akutwa na uvimbe kilo 7 akidhani ujauzito

CHATO: HOSPITALI ya Rufaa ya Kanda Chato (CZRH) imefanikisha upasuaji wa kuondoa uvimbe wa kilogramu saba kutoka kwenye tumbo la…

Soma Zaidi »

DC Mgomi atoa wito uchangiaji damu Songwe

SONGWE: Mkuu wa Wilaya ya Ileje, Farida Mgomi, ametoa rai kwa wananchi kujenga utamaduni wa kujitolea damu kwa hiari ili…

Soma Zaidi »

Watakiwa kutathmini utoaji huduma za afya

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Tanzania Health Summit (THS) limewataka watoa huduma za afya na vituo vya afya nchini kufanya…

Soma Zaidi »

Maabara ya Taifa yajipanga kukabili kipindupindu

WIZARA ya Afya kupitia Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii (NPHL) imeanza mwaka wa tatu wa utekelezaji wa mradi…

Soma Zaidi »

Wagonjwa 1,306 wapewa msamaha matibabu MOI

DAR ES SALAAM: TAASISI ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imesema katika siku 100 za Rais Samia Suluhu…

Soma Zaidi »

JKCI, MOI kufanya uchunguzi mishipa ya fahamu bure Arusha

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya Arusha Lutheran Medical Center (ALMC), inayosimamiwa na Taasisi ya Jakaya Kikwete Cardiac Institute (JKCI) kwa…

Soma Zaidi »

Mil 686/- zajenga kituo cha afya Nsenda

TABORA: SERIKALI imetumia Sh milioni 686 kujenga Ktuo cha Afya cha Nsenda  chenye lengo la kuboresha na kusogeza huduma za…

Soma Zaidi »
Back to top button