Hospitali Geita yaweka nguvu matibabu ya macho

GEITA; HOSPITALI ya Rufaa ya Mkoa wa Geita imeanzisha karakana ya macho ili kukabiliana na mahitaji ya huduma za macho ambayo yamezidi kuongezeka kwa watu wanaopitia changamoto hiyo.
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya mkoa wa Geita, Dk Mfaume Kibwana ametoa taarifa hiyo katika hafla ya kupokea msaada wa vifaa vya matibabu ya macho kutoka taasisi ya KCCO.
Dk Mfaume amesema kupitia uwekezaji wa serikali na msaada wa KCCO, hospitali hiyo imepata vifaa vya uchunguzi, matibabu na upasuaji wa macho vyenye thamani sh milioni 130.
Amesema kwa kutumia ufadhili huo hospitali imeweza kufikia wanufaika zaidi ya 434 kuanzia mwezi Oktoba 2025 kati yao wagonjwa 54 walifanyiwa upasuaji wa macho.
Amesema kupitia karakana mpya ya macho kuna maboresho ambayo itasaidia kutengeneza miwani na kusaidia wahitaji wa miwani ya macho kuipata kwa wakati na gharama nafuu.
“Lakini pia watoto hawajawekwa mbali katika upatikanaji wa huduma hizi kuna mashine zimeletwa kusaidia kwa ajili ya uchunguzi wa watoto kuhusu magonjwa mbalimbali ya macho”, amesema.
Mratibu wa huduma za Macho mkoa wa Geita, Dk Anath Mussa amesema mkoa una vituo vinavyotoa kliniki za macho 9 na watalaamu 17 wanaotoa huduma za macho kwa mkoa mzima.
“Katika kitengo cha macho pekee kuanzia Julai hadi Desemba 2025 wamehudumia takribani watu 7,000 huku kliniki za macho zikihudumia watu takribani 5,000 na upasuaji 181 ukifanyika”, amesema.
Amesema hali ya uelewa juu ya changamoto za macho katika jamii zetu bado upo chini kwa sababu watu wengi hawaamini kwenye matibabu, wana Imani potofu na kukithiri kwa tatizo.

Ofisa Mratibu wa Miradi wa KCCO, Peter Kileo amesema taasisi hiyo imejizatiti kuendelea kuyafikia maeneo yote yenye changamoto ya huduma za macho ili kuisaidia jamii kupunguza tatizo.
Kaimu Mganga Mkuu wa mkoa wa Geita, Dk Yohana Kihaga amsema kati ya vituo 307 vya huduma za afya, vituo tisa vinatoa huduma za macho huku sit ani vya serikali na vitatu vya binafasi.
“Niwaombe watu wote ambao mtakuwa mnatumia hivi vifaa siyo kwamba hapa ni mwisho bali hapa ni mwanzo na kwenye kila hatua ya kuboresha huduma za macho tutaendelea kusaidia”, amesema Dk Kihaga.




.
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
.
.
.
.
.
.amk
.
Start now generating extra home based cash by doing very easy and simple job from home. Last month i have earned $19753 from this job in my part time. This job is just awesome and its earning are greater than 9 to 5 office job. Join this right now by follow instructions here…
>>>>>>>>>> http://www.giftpay7.vip
Kwa urahisi weka, bila kifo cha Yesu msalabani kwa ajili ya dhambi zetu, hakuna mtu atakaye kuwa na uzima wa milele. Yesu mwenyewe alisema, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima, mtu haji kwa Baba, ila kwa njia yangu” (Yohana 14: 6) Katika maneno haya, Yesu anasema sababu ya kuzaliwa, kifo na ufufuo wake — kutoa njia ya mbinguni kwa wanadamu wenye dhambi, ambao hawawezi kufika huko peke yao.
Kwa urahisi weka, bila kifo cha Yesu msalabani kwa ajili ya dhambi zetu, hakuna mtu atakaye kuwa na uzima wa milele. Yesu mwenyewe alisema, “Mimi ndimi njia na kweli na uzima, mtu haji kwa Baba, ila kwa njia yangu” (Yohana 14: 6) Katika maneno haya, Yesu anasema sababu ya kuzaliwa, kifo na ufufuo wake — kutoa njia ya mbinguni kwa wanadamu wenye dhambi, ambao hawawezi kufika huko peke yao.