Afya

Madaktari kutoa huduma za kibingwa Shinyanga

SHINYANGA: Timu ya madaktari bingwa 36 wa magonjwa mbalimbali yakiwemo afya ya uzazi, figo na shinikizo la damu watakaotoa matibabu…

Soma Zaidi »

NLD yaja na mfumo bima ya afya kwa wote

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo amesema serikali yake itapunguza posho za…

Soma Zaidi »

Wananchi Babati wapata huduma za afya ya akili

‎MANYARA: HOSPITALI ya Taifa ya Afya ya Akili Mirembe imeadhimisha Siku ya Afya ya Akili Duniani mwaka 2025 kwa kuandaa…

Soma Zaidi »

Magonjwa ya kinywa yatajwa kuathiri moyo

MAGONJWA ya kinywa kwa watoto, yakiwemo kuoza kwa meno na mafindofindo (Tonsillitis), yameelezwa kuwa yanaweza kusababisha magonjwa ya valvu za…

Soma Zaidi »

Mikakati 5 ya serikali kukabili afya ya akili

DAR ES SALAAM: WIZARA ya Afya imesema kuwa imeandaa mikakati mitano ya itakayosaidia kuhakikisha inapambana na changamoto ya afya ya…

Soma Zaidi »

Tanzania yaandikisha wanachama wengi bima ya afya

TANZANIA, Kenya na Rwanda ni miongoni mwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zilizoandikisha wanachama wengi kupata huduma…

Soma Zaidi »

Mzumbe wazindua chanjo homa ya ini

MOROGORO: CHUO Kikuu Mzumbe kilichopo mkoani Morogoro kimezindua kampeni ya utoaji chanjo ya homa ya ini (Hepatitis B) kwa watumishi…

Soma Zaidi »

Shirika labadili jina, laahidi huduma bora

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la kimataifa lisilo la kiserikali linalotoa huduma za afya ya uzazi nchini, Marie Stopes Tanzania, sasa…

Soma Zaidi »

Mkakati wasukwa huduma za afya, upunguzaji gharama

DAR ES SALAAM: TANZANIA imeanza mchakato wa kuboresha huduma za afya shirikishi na ufadhili endelevu ili kuongeza ufanisi, kupunguza gharama…

Soma Zaidi »

Majaliwa aagiza mikakati kukomesha udumavu

DAR ES SALAAM : WAZIRI Mkuu , Kassim Majaliwa, ametoa maelekezo saba kwa wizara, taasisi za umma na wadau wa…

Soma Zaidi »
Back to top button