Afya

Maambukizi ya malaria yapungua asilimia 6.7

RUVUMA: TAFITI za viashiria vya malaria nchini zinaonesha ugonjwa huo umepungua kutoka asilimia 14.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 8.1…

Soma Zaidi »

Madaktari bingwa kuwafikia watu 7,000 Arusha

ARUSHA: Katibu Tawala wa Mkoa wa Arusha, Missaile Musa amesema wamejipanga kuwahudumia wananchi wapatao 7,000 kwenye kambi ya madaktari bingwa…

Soma Zaidi »

Zaidi ya milioni 450 kutekeleza miradi ya afya Longido

ZAIDI ya Sh milioni 450 zimepelekwa katika Jimbo la Longido mkoani Arusha kumalizia miradi ya afya ili kuwaondolea usumbufu wananchi…

Soma Zaidi »

Mariam Mwinyi azindua Zanzibar Afya Week

ZANZIBAR: MKE wa Rais wa Zanzibar, Mariam Mwinyi amesema taifa linahitaji watu wenye afya bora ili kuwa mustakabali mzuri wa…

Soma Zaidi »

Mwongozo uwezeshaji wanawake wazinduliwa

DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wanawake na Makundi Maalum Dk Dorothy Gwajima leo amezindua rasmi mwongozo wa uundaji…

Soma Zaidi »

Mloganzila yatoa uvimbe kwenye pafu kwa tundu dogo

HOSPITALI ya Taifa Muhimbili-Mloganzila kwa mara ya kwanza imefanikiwa kufanya upasuaji wa kuondoa uvimbe kwenye pafu la mgonjwa kwa njia…

Soma Zaidi »

Dar: Wiki ya afya na ustawi yazinduliwa

DAR-ES-SALAAM :  TAASISI ya Bloom Wellness Tanzania imezindua Wiki ya Afya na Ustawi Tanzania, itakayofanyika kwa siku mbili jijini Dar…

Soma Zaidi »

Matumizi ya chanjo yaongezeka Tanzania

TABORA : WAZIRI wa Afya, Jenista Mhagama, amesema kiwango cha uchanjaji kitaifa kwa miaka mitano mfululizo kimebakia zaidi ya asilimia…

Soma Zaidi »

Watoto 48.9% wamedumaa Rukwa

TAKRIBANI nusu ya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano wamedumaa mkoani Rukwa huku kiwango cha udumavu ni asilimia…

Soma Zaidi »

Bunifu Muhas majawabu changamoto za afya

DAR ES SALAAM: SERIKALI imesema inaunga mkono bunifu mbalimbali za afya zinazofanyika Chuo Kikuu na Sanyansi Shirikishi (Muhas) ili kupata…

Soma Zaidi »
Back to top button