Uchumi

Bosi Oryx asifu mazingira bora uwekezaji sekta ya nishati

DAR ES SALAAM; Mkurugenzi Mkuu wa Oryx Energies Tanzania, Iman Mtafya, amesema mazingira bora ya uwekezaji yanayofanywa na Serikali katika…

Soma Zaidi »

Miaka mitano ya fursa mpya uchumi wa Tanzania

Rudisha  fikra nyuma kwa Tanzania ya mwaka 2021 yenye vijana waliokuwa wanajiuliza maswali kuhusu suala la ajira ziko wapi? Maswali…

Soma Zaidi »

Trilioni 76 za maendeleo zilivyoibadili Tanzania

Mwaka 2021, mkazi wa Sumbawanga aliyekuwa akihitaji huduma ya CT Scan au matibabu ya kibingwa mara nyingi alilazimika kusafiri kilomita…

Soma Zaidi »

Kilimo kuongoza ajenda mabadiliko ya uchumi

DODOMA:Serikali imesema itatoa kipaumbele kwenye sekta ya kilimo katika Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2026/27, ikiitaja kuwa miongoni…

Soma Zaidi »

Londo: TBS ni nguzo kuu kulinda afya ya mlaji

DAR ES SALAAM; Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara,  Dennis Londo, amelitaja Shirika la Viwango Tanzania (TBS) kuwa ni nguzo…

Soma Zaidi »

Kafulila azungumzia uchumi mataifa ya nje

MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP Centre), David Kafulila, amesema mfumo…

Soma Zaidi »

ATCL yarejesha huduma Chato

DODOMA; SERIKALI imesema Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL), itarejesha safari zake za ndege ya abiria kwenye Uwanja wa Ndege wa…

Soma Zaidi »

Serikali yazungumzia hatua kuimarisha biashara kikanda

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema serikali imeendelea kuchukua hatua za kuondoa vikwazo vya biashara visivyo vya…

Soma Zaidi »

Tanzania ina viwanda 1,604 mafuta ya kula

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema Tanzania ina jumla ya viwanda 1,604 vya kuzalisha mafuta ya kula,…

Soma Zaidi »

Hivi hapa vipaumbele 7 bajeti viwanda na biashara 2026/27

DODOMA; Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amewasilisha hotuba ya bajeti ya wizara hiyo mwaka 2026/27 ikiwa na vipaumbele…

Soma Zaidi »
Back to top button