Infographics

Mndeme alipania jimbo la Kigamboni, atwaa fomu ubunge

DAR ES SALAAM: DHAMIRA, maono na uthubutu unaendela kutawala hisia za Wakili Mwanaisha Mndeme ambapo leo Aprili 30 amechukua fomu…

Soma Zaidi »

Talis bingwa wa jumla kuogelea

DAR ES SALAAM; klabu ya Kuogelea ya Talis imetwaa ubingwa wa jumla michuano ya kuogelea klabu bingwa taifa iliyomalizika leo…

Soma Zaidi »

Simba yatinga fainali Afrika

AFRIKA KUSINI; SIMBA imetinga fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika, baada ya leo kutoka 0-0 mchezo wa marudiano…

Soma Zaidi »

Kuogelea wapo imara michezo Afrika

DAR ES SALAAM; Timu ya Taifa ya kuogelea inatarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Misri kushiriki mashindano ya vijana ya Afrika…

Soma Zaidi »

Dk Mpango ataka matendo ya Papa yaenziwe

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amesema namna bora ya kumuenzi aliyekuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francis…

Soma Zaidi »

Wasira amvaa Martha Karua wa Kenya

DODOMA; MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira amemjia juu Mwanasheria maarufu na mwanasiasa wa nchini Kenya…

Soma Zaidi »

Makamu wa Rais ataka kuombea viongozi, Bara, Visiwani

MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemedi Abdulla amewaomba watanzania kuwaombea viongozi wa serikali zote mbili ili kudumisha umoja,…

Soma Zaidi »

‘Tuwaombee viongozi tudumishe umoja’

MTWARA:MAKAMU wa Pili wa Raisi wa Zanzibar,  Hemedi Suleiman Abdullah amewaomba Watanzania kuwaombea viongozi wa serikali zote mbili ili kudumisha…

Soma Zaidi »

MSLAC watoa elimu ukatili kwa wanafunzi Missenyi

ZAIDI wa wanafunzi 700 wa Shule ya Sekondari Mtukula wamepewa elimu ya  kuwasilisha  na kuripoti matukio ya ukatili katika madawati…

Soma Zaidi »

Papa Francis aacha zawadi ya jimbo Bagamoyo

ASKOFU Mkuu mstaafu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amesema Jimbo la Bagamoyo…

Soma Zaidi »
Back to top button