Infographics

Majaliwa: Tanzania ni mahali sahihi kuwekeza

DODOMA; WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali imerekebisha changamoto ambazo wawekezaji wengi walikuwa wakizilalamikia, ili kufungua milango wawekezaji wengi kuja…

Soma Zaidi »

Wabunge wapendekeza itungwe sera moja ya kodi

DODOMA;WABUNGE wameshauri serikali kuandaa Sera ya Kodi moja ili kutoa mwongozo wa masuala yote ya kodi nchini. Akisoma maoni Kamati…

Soma Zaidi »

‘Ajira mpya haziwezi kutolewa kwa uwiano sawa kila jimbo’

DODOMA; SERIKALI imesema nafasi za ajira mpya haziwezi kutolewa kwa uwiano sawa kwa kila jimbo. Kauli hiyo imetolewa leo bungeni…

Soma Zaidi »

Sh Tri.1.6 kutekeleza vipaumbele vya afya

DODOMA; WIZARA ya Afya imewasilisha bajeti ya Sh 1,618,191,235,000.00 ili ni kuweza kutekeleza malengo na vipaumbele iliyojiwekea kwa mwaka 2025/26.…

Soma Zaidi »

Lesotho wavutiwa sekta ya nishati Tanzania

DAR ES SALAAM: SERIKALI Lesotho imevutiwa na namna ambavyo Serikali ya Tanzania kupitia Wakala wa Nishati Vijijiji (REA) ilivyopiga hatua…

Soma Zaidi »

Samia: Tusikubali waiharibu Tanzania

RAIS Samia Suluhu Hassan ameonya watu wanaoingilia mambo ya ndani ya Tanzania. Ameagiza vyombo vya ulinzi na wawakilishi wa Tanzania…

Soma Zaidi »

Walimu wapewa mafunzo ya Kingereza Iringa

IRINGA: WALIMU wa shule za msingi Manispaa ya Iringa wameanza kupatiwa mafunzo ya siku tatu kuhusu mbinu mpya ya kufundisha…

Soma Zaidi »

“Kamilisheni uchunguzi wizi vifaa vya hospitali”

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Mwanza kukamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya  Wilaya ya Sengerema…

Soma Zaidi »

Kweweta ajitosa ubunge Kilwa Kusini

KILWA: KATIBU Mkuu Kiongozi wa Baraza Kivuli la Mawaziri wa ACT Wazalendo, Idrisa Kweweta amechukua rasmi fomu ya kugombea Ubunge…

Soma Zaidi »

‘Jengeni misingi ya haki, demokrasia kuelekea uchaguzi mkuu’

DAR ES SALAAM; VYOMBO vya habari nchini vimekumbushwa wajibu wao kujenga misingi ya haki na demokrasia kuelekea uchaguzi mkuu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button