Infographics

Binti aliyedai kutumwa kumuua Mpina kortini

JESHI la Polisi Mkoa wa Simiyu limemfikisha mahakamani binti aliyejitambulisha kwa jina la Pendo Paul Elikana (19) akidaiwa kutoa taarifa…

Soma Zaidi »

MNH yapokea vifaa tiba kutoka Al Muntazir Sekondari

DAR ES SALAAM: HOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imepokea msaada wa vifaa tiba na kufundishia kutoka Al Muntazir Islamic International…

Soma Zaidi »

Watu 1246 wafikiwa msaada wa kisheria Zanzibar

ZANZIBAR:SERIKALI ya Mapinduzi Visiwani Zanzibar imeeleza kuwa tangu kuzinduliwa kwa Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia…

Soma Zaidi »

GH Foundation yatoa mafunzo ukatili wa kijinsia.

TAASISI ya GH Foundation imefanya warsha ya kuwajengea uwezo askari wa Jeshi la Polisi, maofisa ustawi wa jamii, Waandishi wa…

Soma Zaidi »

Wajukuu wa Samia kutangaza mafanikio ya Rais

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewateua wasanii wafupi wakiongozwa na Tausi Degela, Pimbi na Hamisi, kwa…

Soma Zaidi »

Ujenzi wodi za VIP Muhimbili umesimama -CAG

DODOMA — Mradi wa ujenzi wa wodi za watu mashuhuri na binafsi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, wenye thamani ya…

Soma Zaidi »

CBT yafafanua taarifa pembejeo zilizoisha muda

MTWARA: BODI ya Korosho Tanzania (CBT) imetoa ufafanuzi kuhusu taarifa iliyotolewa na moja ya chombo cha habari nchini kuhusu wakulima…

Soma Zaidi »

NHC yatikiswa mradi wa Kawe 711

DODOMA — Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24 imebainisha kuwa miradi 24 ya ubia ya Shirika la Nyumba…

Soma Zaidi »

Miradi 24 vya ubia NHC yakwama kwa miaka 11 hadi 27

DODOMA — Ripoti ya CAG kwa mwaka wa fedha 2023/24 imebainisha kuwa miradi 24 ya ubia ya Shirika la Nyumba…

Soma Zaidi »

CAG: TIC haina programu kukuza uwekezaji

DODOMA — Ripoti Kuu ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kwa mwaka wa fedha 2023/2024 imesema…

Soma Zaidi »
Back to top button