Infographics

Nyota wa Injili kushiriki Tamasha la Uchaguzi

DAR ES SALAAM; MKURUGENZI wa Msama Promotion Alex Msama amesema mastaa wa muziki wa injili kutoka mataifa mbalimbali ya Afrika…

Soma Zaidi »

Michuano ya tenisi Afrika kufanyika Dar

DAR ES SALAAM; Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa mashindano ya tenisi ya vijana wenye umri chini ya miaka 14, yatakayofanyika…

Soma Zaidi »

Unywaji maziwa, ulaji mayai vijijini Changamoto – tafiti

WATAFITI kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wameeleza ya kwamba wananchi wengi wanaoishi vijijini katika Wilaya ya Kilombero…

Soma Zaidi »

MOI yafanya upasuaji ubongo kwa kutumia akili unde

Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) imeanza rasmi upasuaji wa ubongo kwa kutumia teknolojia ya akili unde…

Soma Zaidi »

Dawasa wapewa maagizo matano

NAIBU Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Christina Mndeme ametoa maagizo matano kwa Mamlaka ya Majisafi na Usafi…

Soma Zaidi »

Katibu tawala Arusha awapongeza walioacha uraibu

KATIBU Tawala Mkoa wa Arusha, Mussa Misaile amewapongeza wanawake na wasichana waliokuwa waraibu wa dawa za kulevya  ambao wamejitambua na…

Soma Zaidi »

Ulaya yaleta mabadiliko wakulima Tanzania

Kiwanda cha kusindika mbogamboga, matunda na viungo cha Mbeya (Mbeya Food Park) kilikuwa eneo sahihi kuhitimisha AGRI-CONNECT, programu kabambe ya…

Soma Zaidi »

Askofu Bendera ahimiza amani uchaguzi mkuu 2025

ASKOFU wa Kanisa la Ufunuo Tanzania ambaye anasimamia Mkoa wa Shinyanga Samawi Bendera amewataka watanzania kuishi kwa amani katika kipindi…

Soma Zaidi »

Mikoa yenye madini kufanyiwa utafiti wa kina

NAIBU Waziri wa Madini, Dk Steven Kiruswa amesema mkakati wa wizara hiyo ni kuhakikisha taasisi zake zinaelekeza nguvu katika mikoa…

Soma Zaidi »

Geita Gold FC yalilia matangazo mubashara championship

TIMU ya Geita Gold Fc ya mjini Geita imeweka wazi kuwa kusitishwa kwa matangazo mubashara ya runinga kwa michezo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button