Infographics

Naibu kadhi ulamaa ahamasisha kodi kwa hiari

NAIBU Kadhi Mkuu wa Tanzania na Mjumbe wa Baraza la Ulamaa, Sheikh Ally Ngeruko ameitaka jamii kulipa kodi kwa hiari…

Soma Zaidi »

Watafiti wafundwa matumizi ya teknolojia

SERIKALI imewaasa watafiti, wabunifu na wagunduzi wa sekta mbalimbali nchini kuchukua hatua za makusudi katika kutumia teknolojia zinazoibukia ili kuleta…

Soma Zaidi »

UVCCM Kagera yaja kivingine

KAGERA; UMOJA wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Mkoa wa Kagera, umezindua kampeni ya siku 16 maarufu kama SANEVO.…

Soma Zaidi »

TRC mguu sawa treni za mizigo SGR

SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limekamilisha majaribio ya mabehewa 264 ya mizigo yatakayotumia reli ya kisasa (SGR) yaliyowasili nchini Desemba…

Soma Zaidi »

Zitto, Lissu wamlilia Sarungi

KIONGOZI mstaafu wa chama cha ACT Wazalendo, Kabwe Zitto amesema kiongozi mstaafu wa serikali, Profesa Philemon Sarungi alifanya kazi kwa…

Soma Zaidi »

Ngorongoro yavuna bil 694/ utalii miaka minne

MAMLAKA ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) imevuna Sh bilioni 694 zilizotokana na kuingiza watalii milioni 2.9 kati ya Julai 2021…

Soma Zaidi »

TMA yatangaza uwepo wa kimbunga Jude

DAR ES SALAAM: MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya uwepo wa kimbunga “JUDE” katika Bahari ya…

Soma Zaidi »

Mradi wa maji kuchochea uchumi wa wananchi

KILIMANJARO: RAIS Samia Suluhu Hassan amesema kukamilika kwa mradi wa maji wa Same-Mwanga-Korogwe kunatarajiwa kuwa na mchango katika kupunguza umaskini…

Soma Zaidi »

Taasisi, NMB kuendeleza vipaji kidigitali

TAASISI ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela na Benki ya NMB zimesaini mkataba wa hati ya mashirikiano…

Soma Zaidi »

SBT, PBZ kuipa Zanzibar mikopo miradi ya maendeleo

ZANZIBAR: Benki ya Stanbic Tanzania (SBT) na Benki ya Watu wa Zanzibar (PBZ) zimeungana kwa pamoja kuiwezesha Serikali ya Mapinduzi…

Soma Zaidi »
Back to top button