Infographics

Vyombo vya habari 1,200 vyasajiliwa TZ

KATIBU Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema vyombo vya habari…

Soma Zaidi »

Simba kulipa gharama za viti Mkapa

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Profesa Palamagamba Kabudi amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuchukua hatua kwa kuwaandikia…

Soma Zaidi »

Serikali kurejesha hadhi ya madini ya Tanzanite

WAZIRI wa Madini Anthony Mavunde amesema Serikali imejidhatiti kurudisha hadhi ya Tanzanite kwa kufanya minada ndani na nje ya nchi…

Soma Zaidi »

Dk Biteko mgeni rasmi tamasha Ijuka Omuka

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika tamasha La Ijuka Omuka linalolenga…

Soma Zaidi »

Ewura yapiga marufuku kukata maji wikiendi

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesema ni marufuku kwa mamlaka za maji nchini kukata maji…

Soma Zaidi »

UDSM wapokea vitabu msaada kwa wanafunzi

Samwel Swai :DAR ES SALAAM: KWA mara  ya pili Chuo Kikuu cha Dr es Salaam (UDSM), kimepokea msaada wa vitabu…

Soma Zaidi »

Asiyeunganisha mfumo ni adui yetu-Dk. Mollel

KIBAHA, Pwani: NAIBU Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel, amewataka Wasimamizi wa Huduma ya Afya Ngazi ya Jamii wizarani kuhakikisha…

Soma Zaidi »

Tanzania yaadhimisha Uhuru na uchumi imara

TANZANIA leo inaadhimisha miaka 63 ya Uhuru wa Tanzania Bara ikiwa na uchumi imara. Wakati akiwasiliasha mapendekezo ya mwongozo wa…

Soma Zaidi »

Uwanja wa Uhuru umebeba makubwa ya Taifa

UWANJA wa Uhuru uliopo Wilaya ya Temeke jijini Dar es Salaam ni miongoni mwa viwanja vikongwe   ambavyo vina historia ya…

Soma Zaidi »

UTEUZI: Prof Janabi mshauri wa rais masuala ya afya

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Mohamed Janabi kuwa mshauri wa Rais wa…

Soma Zaidi »
Back to top button