Jamii

Waziri Mkuu aipa Wizara ya Maji wiki 2 kupata mkandarasi

WAZIRI Mkuu Dk Mwigulu Nchemba ameipa Wizara ya Maji kipindi cha wiki mbili kuhakikisha inakamilisha mchakato wa upatikanaji wa mkandarasi…

Soma Zaidi »

CCT yaunga mkono juhudi za serikali kujenga mahusiano

JUMUIYA ya Kikristu Tanzania (CCT) imepongeza jitihada za Serikali kukuza ari ya mahusiano miongoni mwa jamii ya kitanzania hatua itakayosaidia…

Soma Zaidi »

TYDF yakutana kujadili kuwafikia vijana

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Amref Health Africa Tanzania, Dk Florence Temu afungua kikao cha Nne cha Kamati Tendaji na…

Soma Zaidi »

..Sh Milioni 50 kutolewa kukamatwa Chacha

MKUU wa Mkoa wa Tabora Paul Chacha, ametangaza kuongeza dau la zawadi kutoka shilingi milioni 20 hadi milioni 50 kwa…

Soma Zaidi »

‘kazi za ndani ajira rasmi’

SERIKALI ya Tanzania ipo mbioni katika hatua za mwisho za kuridhia Mikataba ya kazi namba 189 na 190 ya Shirika…

Soma Zaidi »

Watoto wafundishwe kusoma vitabu

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema uandishi wa vitabu una mchango mkubwa katika kuhifadhi utamaduni wa…

Soma Zaidi »

Chalamila amaliza mgogoro miaka 15 Kariakoo

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amemaliza mgogoro wa takriban miaka 15 kuhusu umiliki wa nyumba namba…

Soma Zaidi »

Wasichana 13,000 warejea shuleni

ZAIDI ya Wasichana 13,000 wenye umri kati ya miaka 13 na 21 waliokatisha masomo ya sekondari kwa sababu mbalimbali, ikiwemo…

Soma Zaidi »

Kihongosi : Ujenzi wa Sekondari Puge Ukamilike Machi

KATIBU wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi, amemuagiza msimamizi wa mradi wa ujenzi…

Soma Zaidi »

Siku ya kuzaliwa: Miriam Odemba kuleta tabasamu wenye uhitajiTemeke

DAR ES SALAAM: MWANAMITINDO nguli nchini Miriam Odema amebariki na kufurahishwa na Rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Taasisi za…

Soma Zaidi »
Back to top button