Jamii

Rais Samia apokea mapendekezo 284 maboresho mifumo ya kodi

DAR ES SALAAM; RAIS wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan, amesema serikali itafanyia uchambuzi wa kina mapendekezo 284 ya maboresho…

Soma Zaidi »

Kamati yaguswa mafanikio umeme vijijini

GEITA: MWENYEKITIi wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini,  Subira Mgalu, amesema serikali kupitia Wakala wa Nishati…

Soma Zaidi »

Kamati yaitaka WMA kuhakiki mita za umeme

Pwani; Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeagiza Wakala wa Vipimo (WMA) kuhakikisha mita za…

Soma Zaidi »

Vilio kuaga watumishi 7 waliokufa ajali ya boti

KIGOMA; MKUU wa Mkoa Kigoma, Balozi Simon Sirro ameongoza viongozi wa serikali na mamia ya wananchi wa Mkoa Kigoma kuaga…

Soma Zaidi »

Sitasahau yaliyotukuta kulipa kwa simu Baa!

DAR ES SALAAM; Ucheshi! Mdau ametuandikia ujumbe akielezea kisa kilichomtokea na wenzake maeneo ya Sinza, Dar es Salaam walipoenda kujinafasi…

Soma Zaidi »

Boti yapinduka yaua watumishi 6 Kigoma

KIGOMA; WATUMISHI sita wa Idara ya Afya halmashauri ya Wilaya Kigoma mkoani Kigoma wamekufa, baada ya boti waliyokuwa wakisafiria kutoka…

Soma Zaidi »

Kamati ya Bunge yaridhishwa kasi ujenzi jengo jipya CBE

DAR ES SALAAM; Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo, Deodatus Mwanyika, ameeleza kuridhishwa…

Soma Zaidi »

Programu kuharakisha mfumo ubunifu yazinduliwa

DAR ES SALAAM; TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kwa kushirikiana na Sahara Ventures, imezindua rasmi programu ya…

Soma Zaidi »

Polisi wanawake Geita waipa tano Magereza Chato

GEITA; MTANDAO wa Polisi Wanawake (PFT-NET) mkoa wa Geita, umeeleza kuridhishwa na kuunga mkono programu ya ustadi, uwezo na maarifa…

Soma Zaidi »

Samia: Tutaendelea kulinda amani

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Tanzania itaendelea kulinda amani, umoja wa kitaifa na utulivu wa kisiasa. Alisema hayo alipopokea salamu…

Soma Zaidi »
Back to top button