Jamii

Watakiwa kutoa mapendekezo yenye tija usimamizi maafa

MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu, Brigedia Jenerali Hosea Ndagala amewataka…

Soma Zaidi »

Chakula cha ziada chafikia tani milioni 5

TANGA: Kutokana na uboreshwaji wa mifumo ya uzalishaji wa chakula ikiwemo utafiti, imewezesha nchi kuwa na ziada ya chakula zaidi…

Soma Zaidi »

Samia atoa somo wanaodharau wanawake

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan ametaka watu wasibeze kuongozwa na rais mwanamke, kwani…

Soma Zaidi »

Mabadiliko tabianchi yaleta changamoto kilimo

WAKULIMA mikoa ya Dodoma, Singida, Morogoro na Manyara wanakumbwa na changamoto kubwa ya kuendeleza kilimo kutokana na athari za mabadiliko…

Soma Zaidi »

DK JANE GOODALL: Historia yake kuhusu sokwe wa Gombe haitafutika

OKTOBA Mosi, 2025 ulimwengu ulipokea taarifa za kusikitisha za kifo cha Dk Jane Goodall baada ya miaka 91 ya safari…

Soma Zaidi »

Chalamila ataka mikakati huduma za maji

DAR ES SALAAM; Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila ameiagiza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira…

Soma Zaidi »

Mobetto kupamba Tanzania Fashion Festival

MWANAMITINDO na msanii maarufu wa Bongo Movie, Hamisa Mobetto, anatarajiwa kupamba usiku wa Tanzania Fashion Festival utakaofanyika Oktoba 18 katika…

Soma Zaidi »

Mbaroni kwa tuhuma za mauaji ya mama wa kambo

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia mkazi wa Masoko wilyani Rungwe, Tatizo Mzumbwe kwa tuhuma za mauaji ya mama…

Soma Zaidi »

Elimu usalama barabarani kwa wanafunzi Shinyanga

WANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ushirika, iliyopo katika Manispaa ya Shinyanga mkoani Shinyanga, wamepatiwa elimu ya usalama barabarani ili kuepuka…

Soma Zaidi »

Kaka na dada wafungwa jela kwa kuoana

MAHAKAMA ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imewahukumu ndugu wa damu kifungo cha miaka isiyopungua 20 jela baada ya kupatikana…

Soma Zaidi »
Back to top button