Jamii

Oryx Gas wawapa nguvu skauti matumizi nishati safi

DODOMA; KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imetoa mitungi ya gesi 260 kwa Chama Cha Skauti Tanzania, ili kuunga mkono jitihada…

Soma Zaidi »

Wananchi wasifu wanawake wengi kugombea ubunge Mara

MARA : WANANCHI katika Mkoa wa Mara wamepongeza juhudi za uwepo wa usawa uliowezesha kuteuliwa kwa wanawake kugombea nafasi hasa…

Soma Zaidi »

Dk.Migiro: Mwanamke Anayeandika Historia Kwenye Medani za Siasa na Diplomasia

KATIKA medani ya siasa, diplomasia na utawala wa Tanzania na hata nje ya mipaka ya Tanzania, jina la Dk Asha-Rose…

Soma Zaidi »

Mgombea anapoahidi kuwashushia wapigakura senene!

SIKU zinahesabika kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Kampeni zimeshaanza kama inavyooneshwa katika…

Soma Zaidi »

Akili unde isichafue pambazuko la wanawake kuchaguliwa 2025

MWAKA 2025 kumepambazuka kwa wanawake kuchanua katika siasa na uongozi na ndio maana ‘Kura Yako ni Haki Yako Jitokee Kupiga…

Soma Zaidi »

Wanawake waandika rekodi mpya uchaguzi 2025

DODOMA : KATIKA mbio za kuwania kiti cha Rais na Makamu wa Rais kwa Uchaguzi Mkuu 2025, taifa linashuhudia rekodi…

Soma Zaidi »

Mipangomiji wafundwa kutekeleza majukumu kwa weledi

ARUSHA; Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini, Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi…

Soma Zaidi »

Waandishi wanolewa matumizi ya takwimu

DAR ES SALAAM; CHUO cha Takwimu Mashariki mwa Afrika (EASTC) kimewataka waandishi wa habari kutumia takwimu sahihi katika kazi zao,…

Soma Zaidi »

“Elimu sio chanzo cha biashara”

KAGERA: Wamiliki wa shule binafsi wilayani Karagwe, mkoani Kagera, wametakiwa kuzingatia lengo kuu la kuanzisha shule hizo ni kutoa huduma…

Soma Zaidi »

Mfumo ufuatiliaji miradi kuanzishwa kudhibiti rushwa

MGOMBEA Mwenza wa urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi ameahidi kuwa serikali ijayo ya chama hicho,…

Soma Zaidi »
Back to top button