Jamii

Maji Ziwa Victoria kufikishwa Dodoma

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema katika miaka mitano ijayo serikali yake itajenga mradi mkubwa wa maji kutoka Ziwa Victoria kwenda…

Soma Zaidi »

Rais Samia asema Kiswahili daraja la maendeleo

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Lugha ya Kiswahili ni daraja la maendeleo. Alisema hayo wakati wa maadhimisho ya miaka 50…

Soma Zaidi »

Mama wa kijana aliyeuawa aiomba serikali kusimamia kesi

MAMA mzazi wa marehemu Enock Mhangwa, Kulwa Baseke ameomba serikali imsaidie kuhakikisha inasimamia kesi ya kifo cha mtoto wake ili…

Soma Zaidi »

JAB yabana waandishi waliotangaza nia ya kugombea

BODI ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imewabana waandishi wa habari waliotangaza nia ya kugombea nafasi za kisiasa kwa…

Soma Zaidi »

Taasisi ya kimataifa kujenga chuo cha lishe Arusha

JUMUIYA ya Afya ya Mashariki, Kati na Kusini mwa Afrika (ECSA-HC) inapanga kujenga vyuo viwili kutoka 11 vya sasa kikiwamo…

Soma Zaidi »

Matukio mbalimbali bonanza la watumishi TSN

DAR ES SALAAM. MATUKIO mbalimbali wakati wa bonanza maalumu kwa watumishi wa Kampuni ya Magazeti ya Serikali (TSN), ikiwa ni…

Soma Zaidi »

SBL yakabidhi mradi wa maji Kondoa utakaonufaisha wakazi 14,000

KONDOA, DODOMA: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), kwa kushirikiana na shirika la Africa Community Advancement Initiative (Africai), imekamilisha na kuzindua…

Soma Zaidi »

Watakaobainika kutumikisha watoto sheria isiwaonee huruma

HIVI karibuni serikali ilitoa takwimu zikionesha utumikishwaji wa watoto umepungua kutoka asilimia 29 mwaka 2014 hadi asilimia 24.9 mwaka 2021.…

Soma Zaidi »

Masauni ataka elimu zaidi usimamizi mazingira

DODOMA: WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Mhandisi Hamad Masauni, amelitaka Baraza la Taifa la…

Soma Zaidi »

TBC, WildAid wahimiza uhifadhi mazingira

DAR ES SALAAM: SHIRIKA la Utangazaji Tanzania (TBC), kupitia mpango wake maalum wa uhifadhi wa mazingira unaorushwa kupitia Tanzania Safari…

Soma Zaidi »
Back to top button