Africa

Kenya yaokoa raia watatu Urusi

NAIROBI : SERIKALI ya Kenya imesema imefanikiwa kuwaokoa raia wake watatu waliokuwa wamesafirishwa nchini Urusi na kulazimishwa kujiunga na jeshi…

Soma Zaidi »

Vodacom mdhamini mkuu Mashindano ya Gofu

Dar es Salaam: Vodacom Tanzania Plc imesaini mkataba na Chama cha Gofu Tanzania, huku kampuni hiyo ya mawasiliano ikijitokeza kuwa…

Soma Zaidi »

Vijana mbaroni Kenya kudharau bendera

NAIROBI, Kenya: POLISI nchini Kenya imewakamata vijana wawili kwa kosa la kudharau bendera ya taifa wakati wa mechi ya soka…

Soma Zaidi »

Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa ushindi

ETHIOPIA : UMOJA wa Afrika umempongeza Peter Mutharika kwa kushinda uchaguzi nchini Malawi. Pia wametoa pongezi kwa wananchi wa taifa…

Soma Zaidi »

Mutharika ashinda uchaguzi Malawi

MALAWI : TUME ya uchaguzi ya Malawi imemtangaza Peter Mutharika kuwa mshindi wa uchaguzi wa rais kwa kupata asilimia 56…

Soma Zaidi »

Rais Chakwera akubali kushindwa uchaguzi

MALAWI : RAIS wa Malawi, Lazarus Chakwera, amekubali kushindwa uchaguzi mkuu na kuliambia taifa lake kwamba anafanya hivyo kwa kuheshimu…

Soma Zaidi »

Rais anusurika kufa mara tano

MOGADISHU:RAIS wa Somalia, Hassan Sheikh Mohamud, amesema kuwa yeye ndiye sasa shabaha kuu ya kundi la kigaidi la al-Shabaab linalohusishwa…

Soma Zaidi »

Mkutano wa dharura DRC kufanyika Paris

DR CONGO : RAIS wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi, amewaomba wanachama wa Umoja wa Mataifa kutambua mauaji…

Soma Zaidi »

Museveni aidhinishwa kugombea urais

KAMPALA,Uganda : TUME ya Uchaguzi ya Uganda imemuidhinisha Rais Yoweri Museveni kugombea urais katika uchaguzi mkuu ujao. Museveni, mwenye umri…

Soma Zaidi »

DRC : Spika wa bunge ajiuzulu

DR CONGO : SPIKA wa Baraza la Chini la Bunge nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Vital Kamerhe, amejiuzulu…

Soma Zaidi »
Back to top button