Mafuta
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Oct- 2025 -22 October
Vituo vya nishati vyachochea maendeleo ya uchumi
DAR ES SALAAM :ZAIDI ya vituo 10 vya huduma jumuishi vikiwemo vya nishati vimejengwa nchini kwa kipindi cha miezi kumi…
Soma Zaidi » -
16 October
PURA yaweka msisitizo elimu miradi kwa wananchi
MTWARA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeelekeza nguvu zake katika utoaji wa elimu kwa wananchi kuhusu miradi…
Soma Zaidi » -
12 October
Puma Energy: Tunajifunza kupitia maoni ya wateja
DAR ES SALAAM: Mkurugenzi Mtendaji wa Puma Energy Tanzania, Fatma Abdallah, amesema kampuni hiyo itaendelea kuweka wateja kuwa kiini cha…
Soma Zaidi » -
Sep- 2025 -25 September
Tanzania yaadhimisha siku ya usafiri majini
DAR-ES-SALAAM : TANZANIA leo imeungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Usafiri Majini Duniani, ambapo Mkurugenzi Mkuu wa Shirika…
Soma Zaidi » -
25 September
PURA yaikaribisha Chevron Tanzania kuwekeza sekta ya mafuta, gesi asilia
ACCRA, GHANA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeikaribisha moja ya kampuni kubwa ya nishati ya Marekani ijulikanayo…
Soma Zaidi » -
20 September
Wananchi watakiwa kuwapokea wawekezaji
KIGOMA: KIONGOZI wa Mbio za mwenge wa Uhuru, Ismail Ussi amewataka wananchi kuwapa ushirikiano wawekezaji wanaotekeleza miradi katika maeneo yao…
Soma Zaidi » -
11 September
Mamlaka Tanzania, Algeria zajadili kuinua sekta ya petroli, gesi asilia
ALGIERS, ALGERIA: Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli nchini (PURA) na Mamlaka ya Udhibiti wa Petroli Algeria (ARH)…
Soma Zaidi » -
8 September
Balozi, bosi Sonatrach wateta fursa za uwekezaji sekta ya mafuta, gesi asilia
Algiers, Algeria: Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Iman Njalikai amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti na mkurugenzi mtendaji wa Kampuni…
Soma Zaidi » -
Aug- 2025 -8 August
PURA yaipongeza TPDC gesi asilia katika uchumi
DAR ES SALAAM: MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Mhandisi Charles Sangweni, amesema…
Soma Zaidi » -
7 August
Kampuni za uingizaji mafuta zaongezeka
DAR ES SALAALM: Wakala wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema idadi ya kampuni zinazoshiriki kwenye mchakato wa uagizaji…
Soma Zaidi »