Mafuta
WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.
-
Jul- 2023 -20 July
TPDC yaja kivingine upatikanaji gesi
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petrol Tanzania (TPDC), Mussa Mohamed Makame amesema shirika hilo lipo kwenye mchakato wa…
Soma Zaidi » -
20 July
Mkurugenzi PURA azuru shule ya msingi Likong’o kujionea utekelezaji wa CSR
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA), Charles Sangweni ametembelea Shule ya Msingi ya Likong’o…
Soma Zaidi » -
20 July
Wakala: Hakuna uhaba wa mafuta nchini
WAKALA wa Uagizaji wa Mafuta kwa Pamoja (PBPA) umesema hakuna uhaba wa mafuta nchini. Kaimu Mtendaji Mkuu wa PBPA, Erasto…
Soma Zaidi » -
19 July
PURA yawasilisha rasimu ya mwongozo wa CSR Kilwa
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imewasilisha rasimu ya mwongozo wa uwajibikaji wa kampuni kwa jamii (Corporate…
Soma Zaidi » -
18 July
EWURA yazungumzia akiba ya mafuta
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imesema nchi ina mafuta ya kutosha katika ghala zake za…
Soma Zaidi » -
7 July
REA yaita wanaotaka kufungua vituo vya mafuta vijijini
WAKALA wa Nishati Vijijini (REA), imewaita wananchi wenye nia ya kuwekeza katika ujenzi wa vituo vya mafuta vijijini kufika katika…
Soma Zaidi » -
5 July
Bei ya petroli, dizeli yashuka
MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei ya kikomo cha bidhaa za mafuta ya petroli…
Soma Zaidi » -
Jun- 2023 -17 June
TPDC yarejesha kwa jamii mali ya milioni 64/-
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limesaidia jamii zilizo pembezoni mwa bomba la gesi asilia kwa kuwajengea wodi ya…
Soma Zaidi » -
Apr- 2023 -27 April
Tope la kimiminika sasa linapatikana Tz
BIDHAA inayotumika kuchimbia visima vya mafuta, gesi na maji ijulikanayo kama tope la kimiminika sasa inapatikana hapa nchini badala ya…
Soma Zaidi » -
20 April
TPDC yatoa notisi waliopisha bomba la mafuta
SHIRIKA la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limetoa notisi ya miezi mitatu kwa wananchi waliosaini mikataba ya fidia kupisha mradi wa…
Soma Zaidi »