Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Vijana wahimizwa michezo, utunzaji mazingira

KISARAWE: VIJANA wa Shule ya Sekondari Minaki iliyopo jijini Dar es Salaam, wamehimizwa kushiriki michezo lakini pia kuzingatia upandaji miti…

Soma Zaidi »

Azam FC yajipanga dhidi ya KMKM

KUELEKEA mchezo muhimu wa Kombe la Shirikisho Afrika, klabu ya Azam imerejea katika mazoezi makali huku ikitamba kuwa iko tayari…

Soma Zaidi »

Stars ilivyotota kwa Zambia

ZANZIBAR; Matukio mbalimbali mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2026 kati ya Tanzania ‘Taifa Stars’ na Zambia ‘Chipolopolo’…

Soma Zaidi »

Watanzania wako tayari kumchagua Samia

TABORA : MSANII wa vichekesho nchini, Kingwendu, amepongeza hamasa kubwa ya wananchi kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu,…

Soma Zaidi »

JKT Queens kambini kujiwinda na Ligi ya Mabingwa Afrika

JKT Queens imeingia kambini kujiandaa na michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake inayotarajiwa kuanza mapema Novemba nchini Algeria.…

Soma Zaidi »

LIGI KUU BARA: Mwendo mdogo mdogo, watafika tu

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kushika kasi, huku baadhi ya timu zikiwa tayari zimecheza raundi tatu, mbili na zingine moja.…

Soma Zaidi »

Taifa Stars ijipange na AFCON Morocco

TAIFA Stars haina budi kubadili muelekeo wake na sasa wanapaswa kuwaza jinsi gani ya kujiandaa na fainali za Mataifa ya…

Soma Zaidi »

Ibrahim Bacca afungiwa mechi 5

DAR ES SALAM; BEKI wa Yanga ya Dar es Salaam, Ibrahim Abdullah ‘Bacca’ amefungiwa michezo mitano ya Ligi Kuu Tanzania…

Soma Zaidi »

Simba wamtambulisha kocha aliyewahenyesha

DAR ES SALAM; KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imemtambulisha Dimitar Pentev raia wa Bulgaria kuwa Meneja Mkuu wa…

Soma Zaidi »

SMZ kuimarisha viwanja vya michezo

ZANZIBAR : RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali inalenga kuviimarisha viwanja…

Soma Zaidi »
Back to top button