Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Mambo ya Msuva Afcon hayo!

MOROCCO; Simon Msuva mfungaji wa bao la Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo dhidi ya Uganda (The Cranes) uliofanyika Desemba 27,…

Soma Zaidi »

Matukio mbalimbali mechi ya Taifa Stars Afcon

MOROCCO;MOROCCO; PICHA za matukio mbalimbali mchezo wa Kundi C fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) kati ya Uganda…

Soma Zaidi »

Ngajilo Bonanza 2025 yazinduliwa mjini Iringa

IRINGA: Bonanza kubwa la michezo lililoandaliwa na Mbunge wa Iringa Mjini, Fadhili Ngajilo, lijulikanalo kama Ngajilo Bonanza 2025, limezinduliwa rasmi…

Soma Zaidi »

Mwaka 2026 uwe wa mafanikio michezoni

MWAKA 2025 unamalizika na hivi karibuni tunaukaribisha Mwaka Mpya wa 2026. Ni desturi ya wengi kuwa na shamrashamra za hapa…

Soma Zaidi »

“Kumbe bado yumo eh!”

RAIS wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, amezindua rasmi Uwanja wa Hoima City wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 20,000, sehemu ya…

Soma Zaidi »

Gabo Zigamba: Jifunze kwa aliyekutangulia

MSANII wa Bongo Movie, Gabo Zigamba, amewataka watu kuacha chuki kwa wale waliowatangulia katika maisha au taaluma zao. Akiandika katika…

Soma Zaidi »

Mwasongwe awatia moyo mashabiki

MWIMBAJI maarufu wa nyimbo za Injili nchini Tanzania, Ambwene Mwasongwe, amewapa mashabiki na Watanzania ujumbe wa faraja na matumaini, akisisitiza…

Soma Zaidi »

Sina mpango wa kuacha muziki

MSANII wa muziki anayefahamika kwa jina la Haroun Rashid maarufu kama Inspector Haroun Babu ameweka wazi matarajio yake ya kuendelea…

Soma Zaidi »

Inspekta Haroun aachia nyimbo mpya mbili

MSANII mkongwe wa Bongo Fleva, Haroun Rashidi maarufu kama Inspector Haroun Babu, ameendelea kudhihirisha uimara na ubobezi wake katika muziki…

Soma Zaidi »

Simbu atamba mafanikio 2025

ARUSHA: Mwanariadha wa kimataifa na bingwa wa dunia wa riadha, Alphonce Simbu ameeleza furaha baada ya kurejea nchini akitokea India…

Soma Zaidi »
Back to top button