Michezo na Burudani

WordPress is a favorite blogging tool of mine and I share tips and tricks for using WordPress here.

Taifa Stars yaanza vibaya Afcon 2025

TANZANIA ‘Taifa Stars’ imeanza vibaya michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), baada ya kufungwa mabao 2-1 na…

Soma Zaidi »

Mapumziko Nigeria 1 Taifa Stars 0

MOROCCO; Ni mapumziko michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON 2025), Nigeria (Super Eagles) 1 Tanzania (Taifa Stars) 0.…

Soma Zaidi »

Makamba bingwa mashindano Ujirani Mwema Burundi

BURUNGA, Burundi: TIMU ya Kombaini ya Wilaya Makamba mkoa Burunga nchini Burundi imeibuka kuwa mabingwa wa mashindano ya Ujirani Mwema…

Soma Zaidi »

Serikali yaagiza tathmini mpya ujenzi uwanja wa mpira Geita

SERIKALI mkoani Geita imeelekeza tathimini mpya ifanyike kufanikisha ukamilishaji wa uwanja wa mpira wa miguu katika Manispaa ya Geita ambao…

Soma Zaidi »

Christian Bella apewa Uraia wa Tanzania

MSANII maarufu wa muziki wa dansi wa Bongo, Christian Bella, amepewa uraia wa Tanzania baada ya kuishi na kufanya shughuli…

Soma Zaidi »

Kigoma Ujiji, Makamba kucheza fainali ujirani mwema

TIMU ya Kombaini ya Makamba ya Burundi na Kombaini ya Manispaa ya Kigoma Ujiji ya mkoa Kigoma, Tanzania zinatarajia kumenyana…

Soma Zaidi »

Mabadiliko makubwa Tuzo za Ocsar

TUZO za Oscar zitaanza kuonyeshwa mubashara kupitia YouTube kuanzia mwaka 2029, baada ya kampuni ya teknolojia kushinda zabuni ya haki…

Soma Zaidi »

Kombo, Kabudi watembelea kambi stars

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo pamoja na Waziri wa Habari, Utamaduni,…

Soma Zaidi »

Yanga yatambia kikosi kipana

DAR ES SALAAM; KLABU ya Yanga imesema inajivunia kuwa na kikosi kipana kinachowawezesha kufanya vizuri kwenye michuano ya Ligi ya…

Soma Zaidi »

Simba yafunguka kocha mpya

KLABU ya Simba imesema itatumia kipindi cha mapumziko kupisha ratiba ya michuano ya fainali za Mataifa ya Afrika (AFCON) zinazotarajiwa…

Soma Zaidi »
Back to top button