Bunge

TAMISEMI yaomba Sh trilioni 11.78 Bajeti 2025/26

Sh trilioni 1.45 ni fedha za nje, zikiwa na lengo la kuendeleza miradi ya kimaendeleo katika maeneo mbalimbali.

Soma Zaidi »

Kamati: Rombo ipewe kipaumbele mpango matumizi ya ardhi

MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Ardhi Maliasili na Utalii, Timotheo Mzava imeiomba serikali kupitia Wizara ya Ardhi Nyumba na…

Soma Zaidi »

Wabunge wasisitiza NEMC kuwa NEMA

WABUNGE wa Bunge la Tanzania wamesisitiza msimamo wao kutaka Baraza la Taifa la Hifadhi ya Mazingira( NEMC) kuwa Mamlaka ya…

Soma Zaidi »

Gambo ataka majibu ujenzi stendi Arusha

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amehoji serikali kuhusu ucheleweshaji wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi…

Soma Zaidi »

Bunge latabiri uchumi kukua kwa asilimia 6

BUNGE limesema uchumi unatarajiwa kukua kwa asilimia 6.0 mwaka huu na asilimia 6.1 mwaka 2026. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu…

Soma Zaidi »

Bunge laitaka kahawa stakabadhi ghalani

BUNGE limeazimia serikali ijumuishe mazao ambayo bado hayajaingizwa kwenye mfumo wa stakabadhi za ghala ikiwemo kahawa. Mwenyekiti wa Kamati ya…

Soma Zaidi »

‘Kuunganisha umeme miradi ikiendelea ni nafuu’

DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme…

Soma Zaidi »

Bunge lampongeza Samia mkutano wa nishati Dar

BUNGE limepitisha Azimio la Kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Nishati Afrika (Misheni 300) hapa…

Soma Zaidi »

 Kamati yapongeza ujenzi mradi wa KKK

KAMATI ya Bunge ya  Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Utalii imepongeza Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa…

Soma Zaidi »

‘Viongozi watimize majukumu yao’

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa amewaomba viongozi wa kuteuliwa na kuchaguliwa kutimiza majukumu yao kwa mujibu wa…

Soma Zaidi »
Back to top button