Bunge

Kapinga: Serikali imetoa ruzuku mitungi 452,445

DODOMA: Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali imetoa ruzuku ya asilimia 20 hadi 50 kwenye mitungi ya gesi…

Soma Zaidi »

Lugangira: Tunahitaji ulinzi wa mbegu za asili

DODOMA: MBUNGE wa Viti Maalum, Neema Lugangira ameipongeza Serikali kupitia Wizara ya Kilimo kwa hatua ya kutambua mbegu za asili…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha Sh Trilioni 1.24 za Wizara ya Kilimo

DODOMA: BUNGE limeidhinisha jumla ya Sh 1 242, 975,000( Trilioni 1.242) kwa ajili ya Wizara ya Kilimo kwa Mwaka wa…

Soma Zaidi »

Sababu wenye Diploma kutoswa ajira za Watendaji Vijiji

DODOMA: NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais TAMISEMI, Festo Dugange ameeleza kuwa ajira za Watendaji wa Vijiji katika Utumishi wa Umma…

Soma Zaidi »

Serikali yatangaza mikakati kuwalinda wanafunzi

DODOMA: SERIKALI imeeleza kuwa usalama wa wanafunzi ni kipaumbele chake kikubwa ambapo mikakati mbalimbali imekua ikitekelezwa ili kuhakikisha wanafunzi wanakuwa…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha Sh Tril 3.645 ya Wizara ya Ulinzi na JKT

DODOMA. BUNGE la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeidhinisha kiasi cha kiasi cha Sh 3,645, 912, 947,000,00 ( Trilioni 3.645)…

Soma Zaidi »

Katambi: Sheria inawalinda watumishi wajawazito

NAIBU Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amewataka watumishi wa sekta binafsi na…

Soma Zaidi »

Nyumba 865 kuunganishwa gesi Mtwara, serikali kugawa mitungi ya ruzuku

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amesema serikali kupitia Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) inatarajia kuunganisha mfumo wa…

Soma Zaidi »

Huduma afya ya akili kuboreshwa

DODOMA : NAIBU WAZIRI wa Afya, Dk. Godwin Mollel amesema serikali imepanga kuboresha utoaji wa huduma za afya ya akili…

Soma Zaidi »

Wanyamapori kuwekewa uzio kudhibiti athari

DODOMA : NAIBU WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dunstan Kitandula amesema serikali itaendelea kuweka uzio katika baadhi ya maeneo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button