Bunge

Serikali: Umeme umefika vijiji 11,973

DODOMA: Serikali imesema vijiji 11,973 sawa na asilimia 97.2 ya vijiji vyote vimefikiwa na huduma ya umme inayotolewa na Wakala…

Soma Zaidi »

Deni la Taifa lafikia Sh trilioni 91.7

Waziri wa Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amesema deni la taifa limeongezeka na kufikia Sh trilioni 91.7 hadi Machi…

Soma Zaidi »

Serikali: Gharama za manunuzi zilishuka 2023

DODOMA; GHARAMA za manunuzi nchini Tanzania zilipungua kwa wastani wa asilimia 3.8 mwaka 2023 ikilinganishwa na asilimia 4.3 mwaka 2022,…

Soma Zaidi »

Masuala 10 yatakayopewa msukumo haya hapa

DODOMA; WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo ameeleza masuala 10 yatakayopewa msukumo kuhakikisha ukuaji…

Soma Zaidi »

Vipaumbele 9 Mpango wa Maendeleo wa Taifa vyaelezwa

DODOMA; WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji Prof. Kitila Mkumbo amewasilisha bungeni Taarifa ya Hali ya Uchumi…

Soma Zaidi »

Serikali kuwasilisha bajeti yake Alhamisi

SERIKALI inatarajiwa kuwasilisha mapendekezo ya bajeti yake mwaka 2024/2025 wiki hii. Bajeti hiyo itakayosomwa Alhamisi na Waziri wa Fedha, Dk…

Soma Zaidi »

LATRA kusajili vikundi vya bodaboda

DODOMA: MAMLAKA ua Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA), imepewa jukumu la kusajili vikundi vya waendesha bodaboda nchini. Bunge limeelezwa. Maelezo hayo…

Soma Zaidi »

Wanafunzi 500 kupewa nafasi vyuo vya wenye ulemavu

DODOMA; SERIKALI imesema mwaka 2024/2025 imepanga kupitia vyuo vyake vya watu wenye ulemavu kudahili wanafunzi 1500 kati yao wasio na…

Soma Zaidi »

Mazingira Kitulo yachelewesha pundamilia, swala kuongezeka

DODOMA; SERIKALI imesema wanyamapori waliohamishiwa Hifadhi ya Taifa ya Kitulo, wamechelewa kuzaliana kutokana na kubadili mazingira ya awali, lakini baada…

Soma Zaidi »

Ushirikiano TBS, ZBS waleta matokeo chanya

DODOMA; USHIRIKIANO kati ya Shirika la Viwango nchini (TBS) na lile linalosimamia viwango Zanzibar (ZBS), umeleta matokeo chanya kutatua changamoto…

Soma Zaidi »
Back to top button