Bunge

Wabunge wataka wezi fedha za umma wang’oke

WABUNGE wamecharuka kuhusu wizi na ubadhirifu wa fedha za umma na wanataka wanaohusika wawajibike kwa kujiondoa kwenye nyadhifa zao. Wamesema…

Soma Zaidi »

Wachaguliwa wenyeviti wapya wa Bunge

BUNGE la Tanzania limewachagua wenyeviti watatu wa bunge ambao watasaidia kuongoza vikao vya bunge kwa maelekezo ya Spika wa Bunge…

Soma Zaidi »

PIC: Stamico ifanye uwekezaji wenye tija

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imelitaka Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) kubana…

Soma Zaidi »

PIC yaipongeza serikali uwekezaji mashirika ya umma

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji ya Umma (PIC) imeipongeza serikali kwa kuwekeza zaidi ya Sh trilioni…

Soma Zaidi »

Wizara yawasilisha taarifa yake kamati ya bunge

Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imewasilisha na kujadili taarifa ya utekelezaji majukumu yake kwa Kamati ya Kudumu…

Soma Zaidi »

Spika achachamaa PhD za kununua

SPIKA wa Bunge, Dk Tulia Ackson amewashukia viongozi wanaonunua shahada za udaktari (PhD) wa heshima  na kuwataka kujitafakari kwa  hicho…

Soma Zaidi »

Bunge latoa siku 60 marekebisho sheria ndogo

BUNGE limeelezwa kuwa baadhi ya sheria ndogo zina dosari na limetoa siku 60 zirekebishwe. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya…

Soma Zaidi »

Serikali yakamilisha mkopo wa magari 12 ya zimamoto

SERIKALI imesema imekamilisha hatua zote za mkopo wa Euro milioni 4.9 kutoka nchini Austria kwa ajili ya ununuzi wa magari…

Soma Zaidi »

Serikali yatoa Sh milioni 540 ujenzi wa majosho

SERIKALI imetoa fedha Sh milioni 540 kwa ajili ya ujenzi wa majosho mbalimbali nchini. Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri…

Soma Zaidi »

Serikali kushughulika na waharibifu wa mazingira

SERIKALI imesema itahakikisha inawachukulia hatua waharibifu wa mazingira wanaofanya shughuli za uchomaji wa misitu, ukataji miti, uharibifu wa maeneo ya…

Soma Zaidi »
Back to top button