Bunge

Serikali yasitisha zoezi la utambuzi mifugo

SERIKALI imesitisha zoezi la kufanya utambuzi wa mifugo kwa kutumia hereni za kieletroniki kipindi cha miezi mitatu kwa lengo la…

Soma Zaidi »

Wahitimu JKT wapewa kipaumbele ajira

KAMATI maalum inayozishirikisha sekta mbalimbali za uzalishaji imeundwa kwa lengo la kuhakikisha kuwa wahitimu wanaomaliza mafunzo ya Jeshi la Kujenga…

Soma Zaidi »

Mwarobaini tatizo la umeme watajwa

SERIKALI imetenga jumla ya Shilingi bilioni 250 kujenga Gridi ya Taifa kutoka Songea –Tunduru – hadi Masasi katika kipindi cha…

Soma Zaidi »

Serikali yatumia Sh bil 17 waathirika mabomu Mbagala

SERIKALI imelipa kiasi cha Shilingi bilioni 17.46 kwa waathirika wa mlipuko mabomu yaliyotokea katika Kambi ya JWTZ Mbagala, Dar es…

Soma Zaidi »

Wabunge kutembelea miundombinu gesi asilia

KAMATI za kudumu za Bunge za Nishati na Madini, pamoja na ya Bajeti zimewasili mkoani Mtwara leo kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Serikali: Ujenzi bomba la mafuta umezingatia sheria zote

SERIKALI imesema inasimamia kikamilifu sekta ya nishati, ikiwemo kuendelea kutekeleza mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika…

Soma Zaidi »

Wakulima 956,920 wasajiliwa mbolea ya ruzuku

WAKULIMA 956,920 wamesajiliwa kwa ajili ya kupata mbolea ya ruzuku, ambapo jumla ya tani 60, 882 za mbolea zimenunuliwa na…

Soma Zaidi »

Majaliwa: Tuna utoshelevu wa chakula asilimia 115

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema nchi ina kiwango cha utoshelevu wa chakula kwa asilimia 115. Ametoa kauli hiyo leo Septemba…

Soma Zaidi »

Bunge lapitisha muswada usimamizi rasilimali za maji

BUNGE leo limepitisha Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Usimamizi wa Rasilimali za Maji ya mwaka 2022. Akizungumza wakati akifanya…

Soma Zaidi »

Suala la Panya Road latua bungeni

#HABARI: Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson, ameiagiza serikali kuchukua hatua za haraka kushughulikia vitendo vya kihalifu vinavyofanywa na vikundi…

Soma Zaidi »
Back to top button