Chaguzi

Kairuki aahidi kutatua migogoro ya ardhi Msigani

MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Kibamba, Angellah Kairuki, ameainisha vipaumbele 10 atakavyotekeleza katika kata ya Msigani ikiwa atachaguliwa kuwa mbunge…

Soma Zaidi »

Serikali bega kwa bega na wafugaji Ngorongoro

Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imeendelea kuzijali jamii za kifugaji, hasa katika maeneo ya pembezoni kama Wilaya ya  Ngorongoro…

Soma Zaidi »

Wenye ulemavu Moro wapo tayari kupiga kura

MOROGORO: WATU wenye Ulemavu waliojiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura wapo tayari kushiriki upigaji kura Oktoba 29, mwaka…

Soma Zaidi »

Ngajilo aahidi timu ligi kuu

IRINGA: Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, ameahidi kuwa moja ya vipaumbele…

Soma Zaidi »

CCM yaahidi kukabili wanyama waharibifu

MOROGORO: MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel Nchimbi amesema kuwa endapo CCM itapewa ridhaa…

Soma Zaidi »

Ngajilo: Nitapanda meza bungeni kupigania huduma za kibingwa Iringa

Mgombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Fadhili Ngajilo, amesema moja ya ajenda zake kuu bungeni itakuwa…

Soma Zaidi »

Serukamba: Nitatekeleza ahadi zangu zote

KIGOMA: MGOMBEA ubunge Jimbo la Kigoma Kaskazini kwa Chama cha Mapinduzi (CCM), Peter Serukamba amesema kuwa atatekeleza ahadi zake zote…

Soma Zaidi »

CCM kuifanya hospitali ya Mkapa kuwa ya kimataifa

MOROGORO: Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, amesema Serikali ya CCM imepanga kuibadilisha Hospitali ya Benjamin Mkapa…

Soma Zaidi »

Bagia kutoka Iringa zinaweza kuwatoa akina mama kimasomaso- Ngajilo

IRINGA: Wajasiriamali wadogo, hasa akina mama, wana fursa kubwa ya kujikwamua kiuchumi kupitia utengenezaji wa bagia—kitafunwa rahisi kinachopendwa na watu…

Soma Zaidi »

Rais Mwinyi: Tuilinde Amani Yetu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema kudumisha amani ni jukumu la kila…

Soma Zaidi »
Back to top button