Siasa

Dorothy Semu atwaa fomu kugombea urais

DAR ES SALAAM: Kiongozi wa Chama cha ACT- Wazalendo, Dorothy Semu amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea wa Urais…

Soma Zaidi »

Wasira kunguruma siku 5 Dodoma

DODOMA; Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, kesho ataanza ziara ya kikazi mkoani Dodoma kukagua…

Soma Zaidi »

Dk. Nchimbi: Kauli za wanasiasa zisiwe mbegu ya migogoro

DAR ES SALAAM; Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Emmanuel Nchimbi, ametoa rai kwa wanasiasa wote nchini kuwa…

Soma Zaidi »

Balozi Matinyi kuitangaza Tanzania kimataifa

BALOZI mpya wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi, ameahidi kuitangaza Tanzania na vivutio vyake kimataifa kwa kutumia uzoefu wake katika…

Soma Zaidi »

Mchuano mkali ubunge ACT jimbo la Malindi

TAARIFA  kutoka ndani ya Chama cha ACT Wazalendo zinaonesha jumla ya wanachama watatu wa chama hicho wamejitokeza kuchukua fomu za…

Soma Zaidi »

Wanane wajitokeza ubunge jimbo la Wete

WANACHAMA wanane wa Chama cha ACT- Wazalendo wamechukua fomu kugombea ubunge wa jimbo la Wete lililopo Pemba Visiwani Zanzibar. Miongoni…

Soma Zaidi »

Makini kushiriki uchaguzi mkuu 2025

CHAMA cha Makini kimesema kitashiriki Uchanguzi Mkuu Oktoba mwaka huu ili kulinda haki kila mtu kikatiba kwa kuchagua viongozi wanaowataka.…

Soma Zaidi »

Wabunge ‘mizigo’ CCM wakalia kuti kavu

TABORA; WAKATI Bunge likitarajiwa kuvunjwa Juni 27, mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema wabunge ambao hawakufanya vizuri katika majimbo…

Soma Zaidi »

Wasira: Tunahubiri amani sababu kuna haki

TABORA; MAKAMU Menyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara Stephen Wasira, amesema ni vyema wananchi wakafahamu kwamba katika amani…

Soma Zaidi »

Kikwete ahitimisha ziara yake Bukina Faso

UJUMBE Maalum wa Rais Samia Suluhu Hassan, Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete amehitimisha ziara yake kwa kukutana na Rais wa Burkina…

Soma Zaidi »
Back to top button