Siasa

Tanzania, Italia zasisitiza ushirikiano kiuchumi

DAR ES SALAAM: ITALIA na Tanzania zimeendelea kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi kupitia Kongamano la 4 la Biashara na Uwekezaji linalofanyika…

Soma Zaidi »

Gambo ataka majibu ujenzi stendi Arusha

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo, amehoji serikali kuhusu ucheleweshaji wa utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa stendi…

Soma Zaidi »

Bunge latabiri uchumi kukua kwa asilimia 6

BUNGE limesema uchumi unatarajiwa kukua kwa asilimia 6.0 mwaka huu na asilimia 6.1 mwaka 2026. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu…

Soma Zaidi »

Tanzania yazihakikishia EAC, SADC ushirikiano suluhu DR Congo

RAIS Samia Suluhu Hassan amewahakikishia Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo…

Soma Zaidi »

Bunge laitaka kahawa stakabadhi ghalani

BUNGE limeazimia serikali ijumuishe mazao ambayo bado hayajaingizwa kwenye mfumo wa stakabadhi za ghala ikiwemo kahawa. Mwenyekiti wa Kamati ya…

Soma Zaidi »

Samia: CCM inaaminika

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan amesema CCM inatimiza miaka 48 ikiwa imara, chama kikubwa…

Soma Zaidi »

Majaliwa awataka viongozi CCM kusimamia miradi

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Chama Cha Mapinduzi-CCM mkoani Kigoma kusimamia kwa karibu utekelezaji wa miradi mbalimbali ya…

Soma Zaidi »

‘Kuunganisha umeme miradi ikiendelea ni nafuu’

DODOMA: NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme…

Soma Zaidi »

Arumeru watakiwa kueleza mazuri ya CCM

VIONGOZI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya Arumeru mkoani Arusha wamehimizwa kueleza mazuri yanayofanywa na chama hicho na kuonesha jinsi…

Soma Zaidi »

Serikali ya Rais Samia yaleta Mapinduzi Chamwino

CHAMWINO, Dodoma – Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imepiga hatua kubwa ya kubadili hali ya Chamwino kwa kutatua changamoto…

Soma Zaidi »
Back to top button