Siasa

Wajumbe CCM sasa ‘kufyeka’ wagombea Agosti 4

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ratiba ya uteuzi wa wagombea wa nafasi za ubunge, uwakilishi, udiwani wa kata/ wadi na…

Soma Zaidi »

Wafungwa kupiga kura Oktoba

DAR-ES-SALAAM : MSIMAMIZI Msaidizi wa Jimbo la Kivule, Wilaya ya Ilala, Dk. Mussa Ally ameipongeza serikali kwa kuwaruhusu wafungwa kushiriki…

Soma Zaidi »

Mapuri:Lindeni rasilimali za uchaguzi

DAR ES SALAAM : BALOZI wa Tume Huru ya Uchaguzi, Omar Mapuri, amewataka wasimamizi na waratibu wa uchaguzi nchini kuhakikisha…

Soma Zaidi »

Mwanasheria Mkuu alivyojipanga utekelezaji Dira 2050

KATIKA Dibaji yake kwenye Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 – Dira 2050, Rais Samia Suluhu Hassan anasema Dira 2050…

Soma Zaidi »

KUELEKEA UCHAGUZI MKUU 2025: Kataa siasa za uchochezi, hoja za chuki

WATANZANIA wanaelekea katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Oktoba 2025 hivyo, hawana budi kufungua macho na akili…

Soma Zaidi »

‘Tumefungua mwanzo mpya ushirikiano Tanzania, Belarus’

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema ziara yake nchini Belarus ambayo ni ya kwanza ya ngazi ya juu tangu…

Soma Zaidi »

Wasira: Hakuna makundi CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kipo shwari na hakuna makundi ndani ya chama hicho. Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Stephen…

Soma Zaidi »

Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa

MTWARA: RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi amewasili hapa nchini katika Mkoa wa Mtwara kwa ajili ya…

Soma Zaidi »

Waandishi epukeni taarifa za uongo

DAR-ES-SALAAM : WAANDISHI wa habari nchini wametakiwa kuwa makini katika kuripoti taarifa za uchaguzi, hususan katika zama za teknolojia ya…

Soma Zaidi »

Tanzania, Kenya zazindua mkongo wa mawasiliano

SERIKALI  za Tanzania na Kenya zitaimarisha diplomasia ya kidijitali na biashara baada ya kuzindua mkongo wa mawasiliano baina ya nchi…

Soma Zaidi »
Back to top button