Siasa

Utekelezaji ilani ya 2020/25 ni turufu CCM

KUELEKEA Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani Oktoba mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinasema utekelezaji wa ilani…

Soma Zaidi »

Mwinyi afungua jengo jipya la ZEC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Hussein Ali Mwinyi, leo Julai 16, 2025 amezindua rasmi Jengo…

Soma Zaidi »

Rais Samia; Chombo cha utulivu, uwazi na somo la demokrasia Tanzania

RAIS Samia Suluhu Hassan amefungua nafasi za kisiasa na uhuru wa kujieleza. Baada ya kuingia madarakani alifuta marufuku ya mikutano…

Soma Zaidi »

Kila mzigo wa taifa unahitaji bega la mzalendo (2)

WIKI iliyopita, makala hii ya RASHID JAFARI iliishia katika kipengele kinachosema kutokana na ujinga wa baadhi ya watu, wengine wanaingia…

Soma Zaidi »

Urais wa Denmark wa Baraza la EU na manufaa Afrika

TANGU Julai hadi Desemba 2025, Denmark inashika nafasi muhimu ndani ya Umoja wa Ulaya. Hiyo ni nafasi ambayo huenda watu…

Soma Zaidi »

Namna vyombo vya habari vilivyopigwa ‘msasa’ kuelekea uchaguzi

KATIKA kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025, sekta ya habari nchini imeelekezwa kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani ya…

Soma Zaidi »

INEC yaagiza mfumo shirikishi kuelekea uchaguzi mkuu

TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imewataka watendaji na maofisa waliopewa dhamana ya kusimamia shughuli za uchaguzi mkuu 2025…

Soma Zaidi »

Vyama vyafundwa kupata wagombea

VYAMA vya siasa vimeshauriwa vizingatie mambo sita ukiwemo uwazi katika kupata wagombea ubunge na udiwani kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu…

Soma Zaidi »

Hatususi -ACT Wazalendo

CHAMA cha ACT Wazalendo kimesema hakitasusia uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025 badala yake kitashiriki kikamilifu zoezi hilo kwasababu ni haki yao…

Soma Zaidi »

Watakiwa kujitenga na ‘No Reform No Election’

GEITA: CHAMA Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) kimewatoa hofu wanachama wake waliojitokeza kutia nia na kugombea nafasi mbalimbali kamwe wasijiingize…

Soma Zaidi »
Back to top button