Dini

Rais Samia achangia ujenzi wa Kanisa Maswa

SIMIYU; RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan ametoa Sh milioni 50 kuchangia ujenzi wa Kanisa Katoliki Parokia ya Nyalikungu wilayani Maswa…

Soma Zaidi »

Rolinga apiga jeki wenye ulemavu

DAR ES SALAAM: KATIKA kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa, Nabii Samwel Samson Rolinga, maarufu kama SS Rolinga, ametoa msaada wa…

Soma Zaidi »

Hifadhi ya Saadani na maajabu sanamu ya Bikira Maria

PWANI; Sanamu ya Bikira Maria (Mariam), anayesemwa katika vitabu vitakatifu vya Biblia Takatifu na Kurani Tukufu kuwa ni Mama wa…

Soma Zaidi »

Ruwa’ich akemea kutegemea sangoma badala ya Mungu

KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam limekemea watu wanaokimbilia kwa waganga wa kienyeji na sehemu zisizofaa kutafuta ufumbuzi…

Soma Zaidi »

Mwamposa, maaskofu waungana kuombea taifa, Rais

MTUME wa Kanisa la Inuka na Uangaze, Boniface Mwamposa pamoja na maaskofu wengine zaidi ya wanne wameongoza ibada maalumu ya…

Soma Zaidi »

Tec yapiga marufuku wanasiasa kusimama madhabahuni

BARAZA la Maaskofu katoliki nchini (TEC) limepiga marufuku viongozi wa kisiasa au kiserikali kupewa nafasi ya kuzungumza madhabahuni, iwe kusalimia,…

Soma Zaidi »

THRDC yaomba suluhu ya mgogoro wa kanisa la ufufuo

MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umetoa wito kwa serikali kutatua hali ya sintofahamu inayoendelea kulikumba Kanisa…

Soma Zaidi »

Tamasha la ‘Flying Family Choir’ kutikisa Dar Juni 29

DAR ES SALAAM: Kwaya ya Flying Family inayojumuisha waimbaji kutoka madhehebu mbalimbali ya kikristo wenye vipaji vya uimbaji  imendaa tamasha…

Soma Zaidi »

Makalla: Utekelezaji Ilani ya CCM, turufu uchaguzi mkuu

KILIMANJARO: KATIBU wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amesema utekelezaji wa…

Soma Zaidi »

Viongozi wa dini washauriwa kuepuka siasa nyumba za ibada

DAR ES SALAAM: VIONGOZI dini nchini hususan wachungaji, wamehimizwa kuheshimu mamlaka zilizopo kwa kutambua kuwa mamlaka hizo zimewekwa na Mungu,…

Soma Zaidi »
Back to top button