Kanda

Barabara Kimara-Mavurunza-Bonyokwa-Kinyerezi kuwa ya lami

SERIKALI kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) imeanza ujenzi wa barabara ya Kimara – Mavurunza – Bonyokwa hadi Kinyerezi ,…

Soma Zaidi »

Geita yafungua milango ujenzi mabanda viwanja vya Samia

MKUU wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela ametangaza kuwa milango ipo wazi kwa wadau mbalimbali kuanza ujenzi wa mabanda ya…

Soma Zaidi »

Kazi inaendelea ujenzi BRT

Soma Zaidi »

Viongozi wa CCM Kigoma wakwazwa ukarabati MV Liemba

Kamati ya siasa ya halmashauri kuu ya CCM mkoa Kigoma imesikitishwa na kuchelewa kuanza kwa ukarabati mkubwa wa meli ya…

Soma Zaidi »

Bil 4.4/- kuweka historia huduma za maji Kibondo

SHILINGI Bilioni 4.4 zilizotolewa na serikali kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kibondo (KIWASA) zimeandika historia kwa…

Soma Zaidi »

Biteko ahimiza mshikamano, upendo, umoja Msalala

NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amesema kuwa angependa kuona wananchi wa Kahama wanashirikiana na kuungana…

Soma Zaidi »

Rais Samia kuanza ziara Tanga Feb 23

WANANCHI  wa Mkoa wa Tanga leo wamejitokeza kwa wingi kushiriki matembezi ya pamoja yaliyoandaliwa kwa ajili ya kuhamasisha mapokezi ya…

Soma Zaidi »

Fisi auawa, ameandikwa jina kwenye paja

Askari wa Mamlaka ya wanyamapori kwa kushirikiana na askari kutoka Mamlaka ya Hifadhi za Taifa Tanzania(TANAPA) na Jeshi la Polisi…

Soma Zaidi »

Sita jela miaka 3 kuchoma moto basi la Saibaba

MAHAKAMA ya wilaya ya Korogwe imewahukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya sh milioni moja kila mmoja watu…

Soma Zaidi »

Polisi yaanika kiini wizi wa ng’ombe Geita

JESHI la Polisi mkoani Geita limeweka wazi kuwa moja ya kiini kikubwa cha ongezeko la matukio ya wizi wa mifugo…

Soma Zaidi »
Back to top button