Tanzania

Apewa ubalozi wa utalii Tanzania

DAR ES SALAAM: Mfanyabiashara na mtangazaji wa utalii, Khalid Hamed Al Barwani,, ameikabidhi Serikali gari la kihistoria aina ya Jeep…

Soma Zaidi »

Dk Nyansaho aipongeza SUMAJKT kwa kutoa ajira kwa vijana

DAR ES SALAAM: Waziri wa Ulinzi na JKT, Dk Rhimo Nyansaho amelipongeza Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) kupitia Shirika lake…

Soma Zaidi »

Nchome asisitiza kulinda amani

DAR ES SALAAM: Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Mwanga, Mchome Lemburus, amewataka Watanzania kuendelea…

Soma Zaidi »

Tanzania, Ufaransa, AFD wajadili umeme wa jua Kishapu

UFARANSA: Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amekutana na kufanya mazungumzo na wawakilishi kutoka Wizara ya Fedha ya Ufaransa, Shirika la…

Soma Zaidi »

Barabara kuchochea ukuaji uchumi Longido

ARUSHA: KUKAMILIKA kwa ujenzi wa Barabara ya Samia Longido Girls kunatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha ukuaji wa uchumi wa Wilaya…

Soma Zaidi »

Takukuru yazindua jengo la Sh Bilioni 1.67 Iringa

IRINGA: Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Iringa imezidua jengo lake la kisasa lenye thamani ya…

Soma Zaidi »

Serikali yasisitiza uwazi, uadilifu vyama vya ushirika

DODOMA: SERIKALI imewataka viongozi wa vyama vya ushirika nchini kuendesha taasisi hizo kwa uwazi, uwajibikaji na uadilifu, huku ikionya kuwa…

Soma Zaidi »

Ushirika watajwa nguzo ya ukuaji wa uchumi

DODOMA: Serikali imezitaka jamii za ushirika nchini kuimarisha uwajibikaji, kutumia teknolojia za kidijitali na kuongeza ushiriki wa vijana na wanawake…

Soma Zaidi »

NSSF yahimiza waajiri kuchangamkia msamaha wa tozo

DAR ES SALAAM: Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kuimarisha juhudi za kupanua wigo wa hifadhi ya…

Soma Zaidi »

Mwanautalii Al Barwani rasmi balozi wa utalii Tanzania

DAR ES SALAAM: MWANAUTALII na mtangazaji wa vivutio vya utalii kutoka Oman, Khalid Hamed Al Barwani, aliyesaidia kulitangaza kimataifa Shamba…

Soma Zaidi »
Back to top button