Chongolo awasili Katavi ziarani

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amewasili wilayani Mlele mkoani Katavi akiendelea na ziara yake ya kukagua uhai wa chama na kuangalia utekelezaji wa Ilani ya chama kwa Wananchi.
Baada ya kuwasili wilayani hapa leo, Chongolo amesalimiana na chifu wa kabila la Wakonongo, mwenye utawala wa eneo la Kalovya, Chifu Michael Kayamba.
Chongolo ametembelea na kukagua mradi mkubwa wa Bwawa la Nsenkwa, linalojengwa kwa ajili ya kuwa chanzo cha maji safi na salama kwa matumizi ya Wananchi wa vijiji 16 katika Halmashauri ya Mlele Mkoa wa Katavi.
Mradi huo utawahudumia wananchi 68,000 utagharimu Sh bilioni 2.8
Akiwa katika eneo hilo la mradi, baada ya kupokea taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa bwawa hilo,Chongolo aliwapongeza kwa kubuni jambo litakalokuwa na matokeo makubwa na chanya kwa Wananchi, kwa gharama ndogo.
Earn money in USA, high scores from trusted resources. Work at your own pace. Regular Payments. Search in different job categories. Work anywhere on your vs03 computer, laptop or mobile phone. Update your profile at any time.
.
.
Detail Here———->>> http://Www.Smartcash1.com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website
COPY HERE →→ http://Www.Smartwork1.com
★ I’m making $90 an hour working from home. ( a66q) i was greatly surprised at the same time as my neighbour advised me she changed into averaging $100 however I see the way it works now. I experience mass freedom now that I’m my non-public boss. Everybody must try this job now by just using this website..
CLICK HERE ——————->> http://www.SmartCareer1.com