DC Mwenda atoa wiki mbili sekondari ikamilike

SINGIDA: MKUU wa Wilaya ya Iramba mkoani Singida, Suleiman Mwenda ametoa wiki mbili kwa wajenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kitukutu kumaliza maeneo yote ambayo hayajakamilika.
Shule hiyo inayojengwa kwa thamani ya Sh bilioni 1.6 ipo katika kijiji cha Kitukuu kata ya Ulemo mkoani humo.
DC Mwenda ametoa agizo hilo mara baada ya jana Mei 8, kutembelea mradi wa ujenzi wa shule hiyo unaotekelezwa na serikali kupitia SEQUIP.
“Tupo nyuma yaradi hakikisheni ndani ya wiki mbili zijazo mnamaliza maeneo yote ambayo yapo nyuma kama vile karakana ili mradi uishe kwa haraka watoto waweze kuingia,” ameagiza DC Mwenda.
I was BROKE and desperate… now I make $3,000+ weekly from my couch! Just 30 days ago, I was stuck in a dead-end job, living paycheck to paycheck. Then I found this secret method—and everything changed Anyone can do this in their free time. Spots are LIMITED! Don’t miss out!
Join now➤➤ 𝐖𝐰𝐰.𝐄𝐚𝐫𝐧𝐀𝐩𝐩𝟏.𝐜𝐨𝐦