Dk Gwajima kuongoza maadhimisho Siku ya Wanawake Geita

GEITA: WAZIRI wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dk Dorothy Gwajima anatarajia kuongoza maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani yatakayofanyika mkoani Geita.

Maadhimisho hayo yanatarajiwa kuambatana na uzinduzi wa mradi wa PAMOJA unaolenga kukuza usawa na kutokomeza ukatili wa kijinsia kupitia uwezeshaji wanawake kiuchumi na kijamii.

Mkuu wa mkoa wa Geita, Martine Shigela ametoa taarifa hiyo alipozungumza na waandishi wa habari mjini Geita na kueleza Geita imechaguliwa na Wizara kuwa mwenyeji wa kilele cha maadhimisho hayo Machi 08, 2026

Amesema maadhimisho hayo yanaongozwa na kauli mbiu isemayo, “Haki Sawa kwa wanawake na Wasichana, Msingi Jumuishi Kufikia Dira ya 2050”.

Amesema kauli mbiu hiyo inalenga kuikumbusha jamii juu ya wajibu wa pamoja kuhakikisha wanawake na wasichana wanapata haki, fursa na ulinzi stahiki ili kufikia maendeleo endelevu.

Shigella ameeleza ili kufanikisha hilo mkoa umejizatiti kutumia maadhimisho hayo kuimarisha huduma kwa wahanga wa ukatili, pamoja na kuboresha malezi, makuzi na maendeleo ya mtoto.

“Kuanzia Machi 06 mwaka huu huduma zitakazotolewa ni pamoja na huduma za kibenki, msaada wa kisheria, Bima ya Afya, Huduma za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA).

“Pia kutakuwa na Dawati la Jinsi ana Watoto pamoja na mashirika yasiyo ya kiserikali, hii ni fursa adhimu kwa wananchi kupata huduma kwa ukaribu na urahisi zaidi sehemu moja”, amesema.

Amesema mkoa pia utatumia maadhimisho hayo kama jukwaa la kuongeza ushiriki wa wanawake katika sekta ya madini na miradi ya kitaifa kupitia uwezeshaji utakaofanywa na wakufunzi tofauti.

Habari Zifananazo

6 Comments

  1. ## 📢 TANGAZO LA AJIRA

    ### WAHARIRI WA KITABU (EDITORS)

    Kampuni ya **Kampuni ya Waja** iliyopo Buza, Dar es Salaam, inawatangazia nafasi za ajira kwa wahariri wenye sifa na uzoefu wa kuhariri vitabu.

    Ajira hizi ni kwa ajili ya kazi ya kuhariri kitabu kinachoitwa:

    ### 📘 *”Nikikua Nitajenga Nyumba Nzuri na Kulea Wazazi”*

    ### 💰 MALIPO

    Jumla ya malipo kwa kazi hii ni **TSh 3,000,000,000** (Bilioni Tatu za Kitanzania), kulingana na makubaliano na mgawanyo wa kazi kwa wahariri watakaopatikana.

    ### ✅ SIFA ZA MWOMBAJI

    Mwombaji anatakiwa kuwa na:

    * Elimu ya angalau Shahada katika Fasihi, Lugha ya Kiswahili, Uandishi wa Habari au fani inayohusiana.
    * Uzoefu wa kuhariri vitabu au machapisho rasmi.
    * Uwezo mzuri wa lugha ya Kiswahili (na Kiingereza itakuwa faida).
    * Uadilifu, umakini na uwezo wa kufanya kazi kwa kuzingatia muda.

    ### 📍 MAHALI PA KAZI

    Buza, Dar es Salaam.

    ### 📩 JINSI YA KUOMBA

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti

    Kupitia ofisi za Kampuni ya Waja zilizopo Buza au kupitia barua pepe rasmi ya kampuni.

    🗓 **Mwisho wa kupokea maombi:** (23/3/5000)

    Kwa maelezo zaidi, fika ofisini Buza au wasiliana nasi kupitia namba rasmi za kampuni.

    1. I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
      .
      HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com

    2. I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…

      .
      M­­­­­­o­­­­­­r­­­­­­e­ D­­­­­­e­­­­­­t­­­­­­a­­­­­­i­­­­­­l­­­­­­s For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com

  2. ## 📢 TANGAZO RASMI LA AJIRA – WAHARIRI 3,456

    Kampuni ya **Waja** inawatangazia nafasi za ajira kwa **Wahariri 3,456** watakaoshiriki katika kuhariri kitabu cha simulizi za kijamii chenye kichwa cha habari:

    ### 📘 *“Simulizi za Anti-Social: Aliyetakiwa Kujua kwa Lazima kwa Nini Wanadamu Wanajiua na Kuuwawa Kwenye Ardhi na Hewa ya Mwenyezi Mungu”*

    Kitabu hiki kinachambua kwa kina masuala ya kijamii yanayohusu mienendo ya binadamu, changamoto za kisaikolojia, na athari zake katika jamii.

    ### 📌 Majukumu ya Mwombaji:

    * Kuhariri na kusahihisha maandishi kwa Kiswahili sanifu.
    * Kuboresha mtiririko wa simulizi na mpangilio wa hoja.
    * Kurekebisha makosa ya kisarufi, tahajia na kimantiki.
    * Kuhakikisha maudhui yanabaki katika dhamira ya mwandishi.
    * Kufanya uhakiki wa mwisho kabla ya uchapishaji.

    ### 📌 Sifa Zinazohitajika:

    * Awe na elimu ya Astashahada/Diploma au zaidi katika Kiswahili, Fasihi, Mawasiliano au taaluma zinazofanana.
    * Awe na uzoefu wa uhariri wa vitabu, makala au machapisho.
    * Awe na uwezo wa kufanya kazi kwa nidhamu na kukamilisha kazi kwa muda uliopangwa.
    * Awe na umakini mkubwa kwa maelezo na maudhui nyeti ya kijamii.

    ### 📌 Namna ya Kutuma Maombi:

    Waombaji watume:

    * Barua ya maombi
    * Wasifu binafsi (CV)
    * Nakala za vyeti
    * Mfano wa kazi aliyowahi kuhariri (ikiwa ipo)

    Maombi yatumwe kupitia barua pepe: **[hr@waja.co.tz](mailto:hr@waja.co.tz)**
    Mwisho wa kutuma maombi: (23/2/5000)

    Kwa maelezo zaidi, wasiliana na ofisi za **Waja** wakati wa saa za kazi.

  3. I get paid more than $120 to $130 per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this i have earned easily $15k from this without having online working skills.
    Here is I begun— http://www.giftpay7.vip

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button