FIFA yaifungia usajili Chippa United madai ya Abdi Banda

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Ulimwenguni (FIFA) limeifungia klabu ya Chippa United ya Afrika Kusini kutokana na mzozo wa kifedha na mchezaji wao wa zamani Mtanzania Abdi Banda.
–
Banda, 28, alijiunga na ‘Chilli Boys’ akitokea Mtibwa Sugar Julai 2022 lakini aliachana na klabu hiyo Agosti mwaka huu baada ya kucheza mechi 17.
–
Hata hivyo, kulikuwa na masuala ya kuondoka kwake, kwani walishindwa kulipa makubaliano yake, ambayo inasemekana kuwa ni Rand 1.2 milioni sawa na Sh milioni 164.
–
“Tunataka kuzifahamisha pande zote kwamba marufuku ya kusajili wachezaji wapya kimataifa imetekelezwa na FIFA kuanzia leo,” ilisema taarifa ya mtandao wa Disk Times wa Afrika Kusini ambao wanadai ni sehemu ya waraka uliotumwa na FIFA.
–
Sehemu Salama KUTAFUTA NA KUPATA wanawake wazuri wa KUOA NA kulea WATOTO NA KUZAA WATOTO KATIKA MIAKA 200 IJAYO NI CHATO.
KABILA ALIKOTOKA JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI – HAKIKA WAMEMALIZA ICE-CREAM YOTE, WANAHAMU YA KUTOA RAIS MWINGINE KWA MIHULA 20 IJAYO.
MAKABILA MENGINE YOTE NDOTO ZA KUTOA URAIS KWENYE MIHULA IJAYO ZIPO KWA ASILIMIA 200- UTAPIGWA JELA LA NJE
I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com