Handeni Mji kuzindua Jukwaa uwezeshaji wanawake

TANGA; KUELEKEA kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Halmashauri ya Mji Handeni inatarajia kuzindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi ambalo litawaimarisha katika shughuli zao za kujikwamua kiuchumi.
Akizungumza kuhusu maadhimisho hayo ambayo yatafanyika Machi 7, 2026 kwa Handeni Mji, Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni, Maryam Ukwaju, amesema uzinduzi huo utafanyika kesho katika kongamano la wanawake ambalo linalolenga kuwaunganisha wanawake ili kubadilishana uzoefu, kupata taarifa za fursa za kiuchumi na kuimarisha shughuli zao za ujasiriamali.
Amesema halmashauri hiyo inatambua na kuthamini mchango mkubwa wa wanawake katika maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla.
“Kongamano hili pia litaambatana na maonesho ya bidhaa mbalimbali zinazozalishwa na wanawake wajasiriamali, ili kuonesha ubunifu wao pamoja na juhudi wanazofanya katika kujikwamua kiuchumi,”amesema.
Ameongeza kuwa katika kongamano hilo washiriki watapatiwa elimu mbalimbali ikiwemo masuala ya umiliki wa ardhi na mirathi, malezi na makuzi ya watoto, ujasiriamali na biashara, elimu ya ushirika na SACCOS pamoja na kilimo bora na ufugaji wa kisasa.




**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: MHARIRI WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:
*“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
* Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
* Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
* Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
* Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
* Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
* Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)
Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.
Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa.*
I get paid over (90$ to 200$ / hour ) working from home with 2 kids at home. I never thought I would be able to do it but my best friend earns over $18000 a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life… This is what I do, check it out by Visiting Following web….
.
HERE——————————————⊃⫸ https://Www.Cash54.Com
I get paid over 220 Dollars per hour working from home with 2 kids at home. i never thought i’d be able to do it but my best friend earns over 15k a month doing this and she convinced me to try. it was all true and has totally changed my life. This is what I do, check it out by Visiting Following Website…
.
More Details For Us→→→→→→→→→ https://Www.Payathome9.Com
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: MHARIRI WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:
*“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
* Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
* Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
* Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
* Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
* Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
* Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)
Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.
Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa..*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: MHARIRI WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:
*“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
* Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
* Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
* Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
* Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
* Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
* Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)
Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.
Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa,.*
**TANGAZO LA AJIRA**
**NAFASI: MHARIRI WA KITABU**
Kampuni ya WAJA iliyopo Buza, Jijini Dar es Salaam, inatangaza nafasi ya kazi ya **Mhariri wa Kitabu** chenye kichwa cha habari:
*“Utajiri Hupambaniwa Lakini Umasikini Hupewa Bure hapa Duniani – Utawezaje Kuondoa Umasikini wa Watu Milioni 60 kwa Saa 1 labda Millenium 1”*
### Majukumu ya Kazi:
* Kuhariri na kuboresha maandishi ya kitabu kitaalamu (sarufi, mtiririko, mpangilio wa sura na mantiki ya hoja).
* Kufanya uhakiki wa kina wa tahajia, alama za uandishi na matumizi sahihi ya lugha.
* Kushauri maboresho ya maudhui bila kuathiri dhamira ya mwandishi.
* Kufanya kazi kwa karibu na mwandishi na timu ya uchapishaji hadi kukamilika kwa muswada.
### Sifa za Mwombaji:
* Awe na elimu ya juu katika Fasihi ya Kiswahili, Lugha, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
* Awe na uzoefu wa kuhariri vitabu, makala au machapisho ya kitaaluma.
* Uwezo mkubwa wa lugha ya Kiswahili; ujuzi wa Kiingereza utakuwa nyongeza.
* Awe makini, mbunifu, mwenye uwezo wa kufanya kazi kwa muda uliopangwa.
* Uzoefu wa uhariri wa vitabu vya maendeleo binafsi au uchumi utapewa kipaumbele.
### Namna ya Kutuma Maombi:
Waombaji watume:
* Barua ya maombi
* Wasifu binafsi (CV)
* Mfano wa kazi alizowahi kuhariri (ikiwezekana)
Maombi yawasilishwe ofisi za Kampuni ya WAJA, Buza – Dar es Salaam au kupitia mawasiliano rasmi ya kampuni.
Mwisho wa kupokea maombi ni ndani ya siku 14 tangu tarehe ya tangazo hili.
**Imetolewa na:**
Kampuni ya WAJA
Buza, Dar es Salaam.
*Fursa ni sawa kwa wote wenye sifa.*