Inonga yupo Simba hadi 2025

KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imetangaza kumuongezea mkataba wa miaka miwili beki wake raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Henock Inonga hadi mwaka 2025.

Mkataba wa sasa wa Simba na Inonga unatarajiwa kumalizika Mei mwaka 2023.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Back to top button
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x