Kairuki aagiza maboresho maonesho ya utalii

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Angellah Kairuki amewataka waandaaji wa maonesho ya Utalii ya Kimataifa ya Swahili (SITE) kuyaboresha zaidi ili kupata washiriki wengi kutoka sehemu mbalimbali duniani.

Hata hivyo ametangaza tarehe ya maonesho hayo ambayo yatakuwa nane kuwa ni Oktoba 11-13 mwaka 2024.

Kairuki amesema hayo wakati akihitimisha maonesho Dar es Salaam na kuwashukuru wadau walioshiriki kwenye maonesho hayo ambapo amesema bila ushiriki wao yasiingeweza kufanyika kwa kiwango na ubora mkubwa kama lilivyofanyika.

Vilevile ameipongeza Mamlaka ya Wanyamapori Tanzania (TAWA) kwa kupamba maonesho hayo kwa kuandaa bustani ya wanyamapori hai ambayo imekuwa kivutio kikubwa kwa waliotembelea.

Aidha amewaomba wadau kutoa maoni kuhusu maonesho hayo ambayo yatasaidia kuboresha maonesho ya mwakani na kuyafanya kuwa ya kimataifa.

“Maboresho haya yatatujenga na kutusaidia kutuingiza katika maonesho makubwa ya kimataifa kama vile world tourism Market.” amefafanua Kairuki

Kairuki amesema pamoja na kazi kubwa ya kuboresha miundombinu iliyofanywa na kusaidia kuleta watalii pia alifafanua kuwa ongezeko kubwa la watalii nchini limetokana na kazi nzuri iliyofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kupitia filamu ya “The Royal Tour” ambayo ilionyeshwa katika vituo vingi vya televisheni vinavyotambulika nchini Marekani na kwingineko duniani ili kutangaza vivutio vya utalii vya Tanzania.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
6 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
2 months ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA

Capture.JPG
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
2 months ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA…

Capture1.JPG
Work AT Home
Work AT Home
Reply to  Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
2 months ago

I make $100h while I’m daring to the furthest corners of the planet. Last week I worked by my PC in Rome, Monti Carlo finally Paris… This week I’m back in the USA. All I do are basic tasks from this one cool site. see it, 

Copy Here→→→→→ http://Www.Smartcash1.com

Last edited 2 months ago by Work AT Home
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
2 months ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA/

Capture.JPG
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
Katiba Mpya - NEC UCHANGUZI LEO
2 months ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA?

Capture1.JPG
MONEY
MONEY
2 months ago

NEC UCHANGUZI LEO

Nani anafaa KUWA RAIS wa Tanzania mzungu kulipa fadhila za OBAMA KUWA RAIS WA MAREKANI NA Greg Fergus SPIKA WA CANADA WA SASA!? – Hongera kwa kuzaa kizazi kisichojihusisha na SIASA……

Back to top button
6
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x