Katavi kujitegemea maonesho ya Nanenane 2024

KATAVI: Mkuu wa Wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi Onesmo Buswelu ameagiza kuundwa kwa kamati maalumu itakayoratibu mchakato wa maandalizi ya sherehe za maonesho ya wakulima (nane nane) kwa mwaka 2024 ndani ya siku 10.

Ametoa maagizo hayo katika kikao cha maendeleo ya Wilaya ya Tanganyika kilichofanyika katika ukumbi wa Mkurugenzi wilayani humo ambapo kwa miaka mingi Mkoa wa Katavi umekuwa ukisafirisha wakulima kwenda kushiriki maonesho ya nane nane katika Mkoa wa Mbeya hali ambayo Buswelu ameeleza imekuwa ikiigharimu serikali fedha nyingi.

DC Buswelu amesema hali hiyo ilikuwa ikiwanyima fursa wakulima wengine kunufaika na sherehe hizo.

Kwa mujibu wa Afisa kilimo wa Wilaya ya Tanganyika Philemoni Mwita amesema maonesho hayo yatasaidia kuwafikia wakulima wengi zaidi katika Wilaya ya Tanganyika na Mkoa wa Katavi badala ya kutegemea maonesho ya kikanda yanayofanyika mkoani Mbeya.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Angila
Angila
23 days ago

I get paid more than 90$ to 400$ per hour for working online. I heard about this job 3 months ago and after joining this I have earned easily $10k from this without having online working skills . Simply give it a shot on the accompanying site…
.
.
.
Here is I started.…………>> http://remarkableincome09.blogspot.com

Julia
Julia
23 days ago

Making every month extra dollars by doing an easy job Online. Last month I have earned and received $18,539 from this home based job just by giving this only mine 2 hrs a day. Easy to do work even a child can get this and start making money Online.
.
.
Detail Here——————————————————–>>>  http://Www.BizWork1.Com

Joyceieves
Joyceieves
23 days ago

I’ve gained only within four weeks by comfortably working part-time from home. Immediately when I had lost my last business, mtg I was very troubled and thankfully
following website___________ http://Www.Careers12.com

Last edited 23 days ago by Joyceieves
Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x