“Kila kijiji kiwe na shule ya msingi na chekechea”

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameziagiza halmashauri zote kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na shule ya msingi na darasa la awali.
Majaliwa ametoa agizo hilo leo Julai 8, 2023 baada ya kuweka Jiwe la Msingi ujenzi wa jengo la utawala Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, mkoani Mtwara
“Tumeagiza kila kijiji kuwa na shule ya msingi na kila shule ya msingi iwe na darasa la chekechea ili watoto wote waanze kusoma chekechea kijiji hapohapo.” amesema Majaliwa.
Amewata maafisa elimu shule kupita kila shule ya msingi vijijini kujiridhisha kuna darasa la awali.
Amewataka na mabaraza ya madiwani kwenye eneo husika kusimamia utekelezaji wa agizo la kuwa na shule ya msingi kila kijiji na kuhakikisha linatekelezeka.
Majaliwa amesema ujenzi wa shule ya msingi kila kijiji ni mpango mkakati wa serikali kuimarisha miundombinu ya elimu katika kuhakikisha kila mtoto wa kitanzania anapata elimu kama inavyopaswa.
Katika hatua nyingine amezitaka halmashauri kuhakikisha kunakuwa na shule ya sekondari kidato cha tano na sita.
“Kaeni pamoja mpange mnaweza kuchagua shule ipi ya sekondari muifanye kuwa shule ya kidato cha tano na sita kwa kuongeza miundombinu zaidi,” amesema.
Amewataka baraza la madiwani kusimamia kwa kukaa na ofisa elimu sekondari na mamlaka husika kuchagua shule na kuanzisha kidato cha tano na sita.
Working part-time, I bring in more than $27,000 USD per month. I listened to a variety of people explain to me how much money they would reasonably expect to make online, so it’s still difficult to determine. It did become all genuine, and it completely db40 altered my life. Everyone should now just try this line of work.
By using this website———>>> http://www.dailypay7.com
Make money by creating an easy and quick strategy to work part time and get extra 30k or more on the internet. (y6 I earned 30,485 in my overtime in the previous month and am extremely happy with this work now. You can try this now by
.
.
.
Following this information:-:-:-:-:- https://fastinccome.blogspot.com/
I am making over $30k a month working part time. I am a full time college student and just working for 3 to 4 hrs a day. Everybody must try this home online job now by just use this Following Website…….. https://workscoin1.pages.dev/
This year do not worry about money you can start a new Business and do an online job I have started a new Business and I am making over $84, 8254 per month I was started with 25 persons company now I have make a company of 200 peoples you can start a Business with a company of 10 to 50 peoples or join an online job.
…
For more info visit on this web Site. . . . . . . . .>>> http://www.Richcash1.com