Kituo kikubwa cha mikutano kujengwa Arusha

KITUO kikubwa cha mikutano kiitwacho Mount Kilimanjaro Convention Center kinatarajiwa kujengwa jijini Arusha.

Kwa mujibu wa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, kituo kitakuwa na ukumbi wenye uwezo wa kuchukua watu 3,000 2, eneo la maonesho lenye kuchukua watu 10,000, hoteli mbili za Nyota Tano zenye uwezo wa kulaza wageni 1,000.



Pia amesema kitakuwa na majengo ya nyumba za kuishi (apartments), kumbi ndogo za mikutano, majengo ya maduka (shopping malls), Nyumba za kulaza watu mashuhuri wakiwemo marais 8, maeneo ya kupumzika (recreation areas), maeneo ya burudani na bustani

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), Ephraim Mafuru amesema uwekezaji huo ni mkubwa na utafungua fursa za kiuchumi kwa Mkoa wa Arusha.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
3 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Kathleen D. Holloway
Kathleen D. Holloway
2 months ago

Presently You’ll gain Up To from 99000 Bucks A Month! There are no confinements, Be Your Claim Boss, it All depends on you And how much you want to earn each day. {vfa-254} This is often a veritable and ensured strategy for gratis to win a tremendous entirety of cash at domestic.
.
.
Tap THIS Interface______ https://fastinccome.blogspot.com/

Drinnera1939
Drinnera1939
2 months ago

Im making over $23k a month working part time. I kept hearing other people tell me how much money they can make online so I decided to look into it. Well, it was all true and has totally changed my life. This is what I do.=======> http://www.dailypro7.com 

Berta Vanderpool
Berta Vanderpool
2 months ago

I am profiting (400$ to 500$/hr )online from my workstation. A month ago I GOT cheque of about 30k$, this online work is basic and direct, don’t need to go OFFICE, Its home online activity. By then this work opportunity is fbegin your work….★★
Copy Here→→→→→ https://workscoin1.pages.dev/

Back to top button
3
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x