Majaribio ya makombora yaanza

KOREA KASKAZINI : ZOEZI la kufanya majaribio ya  kurusha makombora limeanza nchini Korea Kaskazini baada  ya kuzindua kiwanda cha kurutubisha madini ya urani na kuahidi kuboresha silaha zake za nyuklia

Korea Kusini na Japan zimethibitisha taarifa hizo, wakati Wizara ya Ulinzi ya Japan iliposema Korea Kaskazini huenda imefyatua kombora la masafa mafupi.

SOMA : Urusi, Korea Kaskazini washtukiwa

Advertisement

Tukio hilo linakuja baada ya taifa hili la Korea Kaskazini kutengwa baada ya kuonyesha  vinu vya kuzalisha  mafuta kwa ajili ya mabomu ya nyuklia.

SOMA: