Korosho kuuzwa kwa namba maalum ya mkulima

SERIKALI itaanza kuuza korosho kupitia namba maalum ya usajili ya mkulima ili kudhibiti changamoto ya utoroshaji pamoja na kuchepushe malipo ya mkulima katika msimu wa mauzo wa mwaka 2023/24 .

Hayo yamesemwa na Naibu Waziri wa Kilimo, Antony Mavunde wakati wa ufunguzi wa mkutano wa wadau wa tasnia ya korosho msimu wa 2022/23 uliofanyika mkoani Tanga.

Amesema kuwa Kwa kufanya hivyo itasaidia serikali kupata mapato yake lakini na mkulima kuweza kunufaika na mauzo ya mazao yake.

“Tumejinga kuanzia mzimu huu korosho yote itakuwa kwa mfumo wa namba ya usajili ya mkulima ambayo aliitumia wakati wa kupata pembejeo lengo na kumsaidia mkulima lakini na serikali kupata takwimu sahihi ya uzalishaji wa zao hilo.”amesema Mavunde.

Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania, Jenerali Mstaafu Aloyce Mwanjile amesema kuwa katika msimu wa mwaka 2022/23 jumla ya korosho ghafi zaidi ya tani milioni 176.6 ziliweza kukusanywa na kuingiza zaidi ya Sh bilioni 328.

Habari Zifananazo

Subscribe
Notify of
guest
8 Comments
Oldest
Newest Most Voted
Inline Feedbacks
View all comments
Chukua Kifo hichoo
Chukua Kifo hichoo
1 month ago

Matokeo yanaonesha ya Majengo+Mlinzi yanayotakiwa kusikimikwa viwanda/ viliyofunguliwa zamani ni 455,789 vinasubiri wawekezaji wapya kabisa kutoka labour ALIYEZALIWA LEO SIJUI MWANAMKE/MWANAUME… UKIFIKA MIAKA 15 UTAFUFUA 4 MIMI NITAKUWA NA MIAKA 150

Matokeo yanaonesha kuwa, katika jumla ya viwanda vyote 49,243 (vikubwa na vidogo) vilivyohusika katika Sensa ya Uzalishaji Viwandani kwa mwaka 2013.

MAPINDUZIII-1692350393.7223.gif
Julia
Julia
Reply to  Chukua Kifo hichoo
1 month ago

I earn more than $145-395 an hour from my online job. I heard about this job three months ago. Once he started working, he could easily make $23,000 without any online work skills. Please try it from the dedicated site.
.
.
Detail Here——————————————————>>>  http://Www.OnlineCash1.Com

Emma craft
Emma craft
Reply to  Julia
1 month ago

Scam scam every where but don’t worry , every one is not a cheater, very reliable and profitable site. Thousands peoples are making good earning from it. For further detail vs02 visit the link no instant money required free signup and
.
.
information______ https://Fastinccome.blogspot.Com/

TatiannaDelora
TatiannaDelora
1 month ago

I earn 200 dollars per hour working from home on an online job. I never thought I could accomplish it, 4a5 but my best friend makes $10,000 per month doing this profession and that I learn more about it.
CLICK HERE ——————->> http://www.SmartCash1.com

TerresaHamilton
TerresaHamilton
1 month ago

Single Mom With 4 Kids Lost Her Job But Was Able To Stay On Top By Banking Continuously DOLLER 1500 Per Week With An Online Work She Found Over The Internet… 

Check The Details HERE…..  https://webonline76.blogspot.com/

Last edited 1 month ago by TerresaHamilton
CHUKUA KIFO HICHOO
CHUKUA KIFO HICHOO
1 month ago

REJECTION CITY (KUJENGWA KIMAZICHANA)
JENGA INDIRECT KUPITIA VAT”
NUNUA BIDHAA (BAR, SIGARA, NAULI ZA DARADARA, MAANDAZI, MKATE, NYOA NYWELE, PAKA KUCHA, NUNUA MIWANI, NUNUA NGUO) TUJENGE.. TUTAPATA FAIDA NA KUJENGA JIJI LETU LA (REJECTION CITY VS MAGUFULI CITY);

MADARAKA CITY VS NGUVU CITY)

MAPINDUZI.JPG
Yystus Raymond
Yystus Raymond
20 days ago

Vema sana kwa hili muheshimiwa. Ila bado changanoto ipo kwetu wakulima, mfumo ulioamriwa wa kuingiza namba za siri , lakini wasimamiz hawatuonyeshi idadi ya pembe Joe alizopata mkulima, hivyo kupelekea wasimamizi wa mfumo kukaa na risiti za pempe jeo za mkulima, hususani mm mwenyewe nmefanya hilo, nmepata salfa sa unga 2, simu 1, salfa ya maji 1, bacox1 ambayo risiti nmepata 3. Ya sumu, ya bacon na ya salfa 1

Yustus Raymond
Yustus Raymond
6 days ago

Nimepokea namba tofauti na namna niliyopewa na SERIKALI nifanueje?

Back to top button
8
0
Would love your thoughts, please comment.x
()
x