Kramo wa Asec Mimosas atua Simba

KLABU ya Simba imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Aubin Kramo kutoka Asec Mimosas kwa mkataba wa miaka miwili.

Kramo (27) raia wa Ivory Coast ana uwezo wa kucheza winga zote mbili na kucheza namba 10.



Hatua hiyo ni muendelezo wa Simba SC katika kujenga kikosi kipya kuelekea msimu ujao.

Habari Zifananazo

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button